Lio 002
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 436
- 68
Habar wana jf ninaomba kufahamu hivi kwa chuo cha Ardhi university hakuna option ya mtu kuweza ku apply chuo moja kwa moja chuoni bila kupitia tcu,hii ni kwa wale walio maliza diploma kutoka vyuo vingne na ambao GPA zao zpo chini kabisa ambazo hazifai kuomba kupitia tcu
2: Na je hapo ardhi university kuna program ya pre bachelor course kwa wale ambao hawana vigezo sahihi vya ufaulu?
Natanguliza shukrani zangu kwenu asanteni saana
2: Na je hapo ardhi university kuna program ya pre bachelor course kwa wale ambao hawana vigezo sahihi vya ufaulu?
Natanguliza shukrani zangu kwenu asanteni saana