Nyanda lunduma
Senior Member
- Apr 10, 2015
- 187
- 68
- Thread starter
- #21
[emoji15] [emoji15] [emoji15] vipi tenajumatatu, jumanne na jumatano
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] vipi tenajumatatu, jumanne na jumatano
Nimekuelewa vizuri sanaMimba yaweza patikana kuanzia siku ya 13 mpaka 21 kuanzia kuanza Kwa hedhi
Hapa namaanisha kuwa
Siku tano yaani trh ya kuanza hedhi mpaka siku ya tano hapo bleed yaweza kata
Hesabu siku tano au saba baada ya kukata bleed,hizo ni siku salama
Siku za mwanamke kupata mimba ni kuanzia siku kati ya 13 mpaka ya 21 au 23
Ila kuanzia siku kati ya 21 mpaka 28 hapa mwanamke hawezi pata mimba
Ndiyo maana wataalamu wanakwambia siku ya 15 tokea mwanamke aanze kupata hedhi,ndiyo siku nzur ya kupata mimba,yaani hapo hubahatishi
Sent using Jamii Forums mobile app