Habari wanajamvi! naombeni mnisaidie umri wa jide maana huyu dada nilianza kumskia nikiwa na umri mdogo sana, mpaka sasa at the age of 30 bado yuko vile vile habadiliki, sana sana namuona anazidi tu kuwa mzuri. Nafatilia pia tuzo za EATV wasanii wanamkubali sana huyu dada na wengi wao wanadai pia walianxa kumskia wakiwa wadogo bado wanatembea na wazazi wao kwenda kwenye concert.
Ni hayo tu leaders....
Na mcheza Mpira wa miguu mkuuMiaka atakayo kutajia msanii yoyote awe bongo movie au mwanamziki akikutajia kumi na tisa ongenza miwili kama jaydee 37 ongeza miwili
wewe unae?38 ila mpaka leo hana mtoto
MIE 27 YRZ TU NINA MKE NA WATOTOwewe unae?
Una uhakika mtoto wako?MIE 27 YRZ TU NINA MKE NA WATOTO
Lugha gani hii Dogo?Kamuombee kwanzaa kujuaa umri wakee akikurusuu ndio ujee nikwambiee
Ngassa ongeza kumiNa mcheza Mpira wa miguu mkuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Miaka atakayo kutajia msanii yoyote awe bongo movie au mwanamziki akikutajia kumi na tisa ongenza miwili kama jaydee 37 ongeza miwili
YEEC BEBE WATOTO WOTE WAMENIRANDA BABA YAO VP WW UNAO?Una uhakika mtoto wako?
Kabisa naunga mkono HOJA... Mi Niko Form One yeye ana hit town hapa.. halafu mnaniambia namzidi miaka 6??? ACHENI UBOYA AISEEEmbu acheni ujinga mi namsikia jady dee niko form 1 afu leo mniambie eti kanizid miaka saba tu, naona mnaanza kupenda ujinga