Nifahamisheni Umri wa Lady Jaydee 'Jide'

Ni kweli ,hivi unachukua simu kuuliza umri wa mtu? Maana yake nini hasa, na ukishajua? Ukaloge, ama, nashindwa mfikiria mtu was a in a hi I.
 
Afu unakuta mtoa mada ni wa jinsia ya kiume.
 
Hivi kwa umri huu anaweza kuzaa watoto wangapi mkuu?
Ninavyojua mimi kwa umri huo anaweza kuzaa watoto wengi tu,kutegemea na spidi atakayoipata baada ya kuweza kuzaa,kwavile navyojua mimi mwanamama mwisho wake wa kupata ezi (damu za kila mwezi) ni miaka 45 - 50 wengine hadi 55 -60.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…