Nifanyaje ili asahau deni

Nifanyaje ili asahau deni

UMASIKINI BWANA

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2013
Posts
942
Reaction score
567
Kuna jamaa linadaiwa laki mbili hapa mtaani linashinda juu ya mwembe jioni ndo linaingia ndani kumi na mbili katoka juu ya muembe[emoji28]

Mdai nae kila siku asubuhi saa moja kafika mlangoni.Jamaa anatabika kweli na hodi hodi.[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Hela hana afanyeje chakula tunampelekea juu ya mti[emoji1] [emoji28] [emoji28]
 
Kuna jamaa linadaiwa laki mbili hapa mtaani linashinda juu ya mwembe jioni ndo linaingia ndani kumi na mbili katoka juu ya muembe[emoji28]

Mdai nae kila siku asubuhi saa moja kafika mlangoni.Jamaa anatabika kweli na hodi hodi.[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Hela hana afanyeje chakula tunampelekea juu ya mti[emoji1] [emoji28] [emoji28]
"Linanidai" badilisha lugha hiyo
 
Badala akatafute hela anakajaa juu ya muembe na mnabariki hilo mnapelekea na chakula ...kuna namna haiko sawa hapo
 
Dawa ya deni ni kulipa atakaa huko juu ya mti hadi lini??? Alipe tu deni hakuna namna
 
huyu mtu ni wewe ila hutaki kusema maana kichwa cha habari umeuvaa uhusika ila ndani ukaukwepa.

cha kufanya, nenda kafanye kazi na umlipe kidogo kidogo mambo yataenda sawa
 
Kuna jamaa linadaiwa laki mbili hapa mtaani linashinda juu ya mwembe jioni ndo linaingia ndani kumi na mbili katoka juu ya muembe[emoji28]

Mdai nae kila siku asubuhi saa moja kafika mlangoni.Jamaa anatabika kweli na hodi hodi.[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Hela hana afanyeje chakula tunampelekea juu ya mti[emoji1] [emoji28] [emoji28]
Na vyombo vya kujisaidia mnampelekea juu ya mti?!! Poleni kwa huo utumwa, mpelekeni kijijini akalime, akivuna aje alipe deni na akiamua kudhulumu atokomee jumla.
 
Back
Top Bottom