Nifanyaje kurejesha rangi ya mwili wangu?

Nifanyaje kurejesha rangi ya mwili wangu?

Pelly

Senior Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
197
Reaction score
207
Habari zenu? Nilipokuwa mdogo hadi Darasa la Saba nilikuwa mweupe sana hadi nikawa najipaka masizi ya mkaa maana watoto walitania sana kulingana na rangi yangu, wengine walidiriki kuniambia mweupe kama papai, je nitafanyaje rangi yangu irudi kama mwanzo maana watu wananishangaa sana hasa wamama walioniona zamani wanasema nimekuwa mweusi sana kuna nini naumwa au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwetu ni weupe sana si unajua warangi mixer waarabu wa kondoa
IMG-20200118-WA0077.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula kinyonga
Habari zenu? Nilipokuwa mdogo hadi Darasa la Saba nilikuwa mweupe sana hadi nikawa najipaka masizi ya mkaa maana watoto walitania sana kulingana na rangi yangu, wengine walidiriki kuniambia mweupe kama papai, je nitafanyaje rangi yangu irudi kama mwanzo maana watu wananishangaa sana hasa wamama walioniona zamani wanasema nimekuwa mweusi sana kuna nini naumwa au?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda maduka ya vipodozi,waambie wakupe mafuta wanayo paka wadada mpaka wanakua weupe,ndio yawe mafuta yako ya kudum,(pesa zako mwenyewe kwa nini usononeke!)
 
Back
Top Bottom