Nifanyaje nipende tena

Mimi nadhani huyo demu alikua mjanja zaidi yako na alikua ameshafunguka kiakili kuliko wewe, japokua wewe ni mkubwa kuliko yeye.

Wakati ulipomtafuta na kuanzisha nae mahusiano, yeye alijua unataka kumega kisela uende zako kama watu wengine. Ndio maana akakukubalia na wala hakukuambia kama ana mtu. Cha ajabu wewe badala ya kupiga utembee zako mbele, ukaanza mambo ya kushangaza ya kuanza kutangaza ndoa na mtu ambae kiuhalisia ulikua humjui, hujui maisha anayoishi, huna taarifa zake etc. Wewe ulidhani kwamba jinsi ulivyomuacha form 2 utamkuta yuko palepale anakusubiri, kumbe mwenzio anaendelea na maisha yake wewe ndio uko stuck in the past.

Nadhani alifanya la maana kukupiga chini unaonekana ungekuja kumsumbua tu na mapenzi yako ya kitoto.
 
Shukran mno mkuu
 
Dahhhh
 
Ukishaumizwa mara ya kwanza mapenzi yanaisha kbs unabaki kutapa tapa tu, muda mwngn unakutana na mdada yupo serious sana lkn wewe ndo hvo tena
 
We jamaa hujitambui. Yani jambo ambalo lilikuingiza kwenye matatizo wewe bado tu unataka kuelekezwa jinsi ya kurudia kulifanya?


Achana na mambo ya mapenzi. Tafuta shughuli nyingine ufanye.
Ila we jamaaa big brain sana
Sina Hizo dhamira anazofikiria mkuu. Wengi tuna matatizo ya kisaikolojia tunayaleta humu walau tusaidiwe hata kwa mawazo.
 
Hongera sana mkuu huo ndo umwamba sasa mambo ya hisia za kupenda achia wamama. KATAA NDOA NI UTAPELI
 
Ikifika wakati wako sahihi wala hilo swala halitokuwa yaani ndio hivo tuu moja kwa moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…