Nifanyaje niweze kumdhibiti mke wangu kuwa na mazoea na watu?

Mwambie awe nakipimo yeye ni mke wa mtu ajiheshimu kama hakuelewi mpeleke kwao kama adhabu akiwa tayari kujieshimu arudi, azoeane nawatu Kisa Nini ??
Mke wa mtu nikujisitiri,nakufanya vitu Kwa mipaka sio kuzoea watu kwani alipoolewa sialikabidhiwa wewe so adili na watu Kwa vipimo.
 
Ni kweli mkuu yani hana mipaka Yani hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…