Nifanye biashara au niajiriwe kwa muda?

Jiajiri kuajiriwa ni utumwa mdogo wangu pambana hakuna kisichowezekana ktk dunia hii
Sio tu utumwa ila hakuna kitu kibaya mtu mwingine kutumia masaa yako. Kuajiriwa maana yake wewe huna kazi na muda wako.

Kuna siku nitawalezea humu Story Muanzilishi wa KK Guard ile kampuni ya Ulinzi.

Ukisomo story yake unaweza lia

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kinacho hitajika ni Commitment na Confidence mkuu.

Confidence ndo bima ya mafanikio. mafanikio sio pesa bali Confidence yaani ndo ile unaweza hata tembea peku barabarani.

Swala la.wewe na kazi au Biashara liko kwenye Uoga na Aibu.

Mpaka hapo ulipo una Hofu na Aibu nazani.

so kama una vitu hivyo nakushauri kafanye kazi tu.

Kama huna Aibu wala Hofu basi ingia barabarani.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Fuata moyo wako utakalo liona jema fanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo kazi ya 400k ni ile ya kuumiza maskio?

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…