wakatipesa
New Member
- Sep 12, 2024
- 4
- 4
Anzisha danguro.Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Hakuna biashara nzuri kama duka genge...jaribu kuhama...nenda nje ya mji...kwenye miji mipya...i.e.Mpiji MagoheMim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Mkuu,biashara ya duka sio biashara.So Sema tu una duka ila sio biashara.Soa sema sasa ninaduka ila ninataka kuanza biashara ili uambiwe namna ya kulifanya duka lako liwe biashara au namna ya kufanya biashara....Biashara inapaswa Ikupe faida ya kutosha kujiendesha na kuendesha maisha yako pamoja na ziada kwa ajili ya akiba au uwekezaji mwingine.Ikikosekana hiyo basi sio biashara bado....Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Yaani ushindani umekuwa mkubwa kiasi kwamba unalinda mtaji tu na kulipa kodi ya nyumba ndio hicho kinanikatisha tamaaMiaka miwili umejenga pango ama unapata kodi ya pango pekee?
Asante kwa ushauri nitaufia kakiMkuu,biashara ya duka sio biashara.So Sema tu una duka ila sio biashara.Soa sema sasa ninaduka ila ninataka kuanza biashara ili uambiwe namna ya kulifanya duka lako liwe biashara au namna ya kufanya biashara....Biashara inapaswa Ikupe faida ya kutosha kujiendesha na kuendesha maisha yako pamoja na ziada kwa ajili ya akiba au uwekezaji mwingine.Ikikosekana hiyo basi sio biashara bado....
Asante maoni yako ni mazuri pia ila ukienda huku unaenda kuanza upya tenaHakuna biashara nzuri kama duka genge...jaribu kuhama...nenda nje ya mji...kwenye miji mipya...i.e.Mpiji Magohe
Duka la jumla la pombe kali na mvinyoMim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Duka la jumla la pombe kali na mvinyoMim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Ongeza kiduka chengine ukusanye faida sehem mbiliMim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Kila mtu na kitu chake alichopewa na Mungu...Mkuu,biashara ya duka sio biashara.So Sema tu una duka ila sio biashara.Soa sema sasa ninaduka ila ninataka kuanza biashara ili uambiwe namna ya kulifanya duka lako liwe biashara au namna ya kufanya biashara....Biashara inapaswa Ikupe faida ya kutosha kujiendesha na kuendesha maisha yako pamoja na ziada kwa ajili ya akiba au uwekezaji mwingine.Ikikosekana hiyo basi sio biashara bado....