Nifanye biashara gani mbadala na duka?

Nifanye biashara gani mbadala na duka?

wakatipesa

New Member
Joined
Sep 12, 2024
Posts
4
Reaction score
4
Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
 
Fanya tathmini ya Mifumo yako:Shida ni wateja wachache?Huduma hazitoshelezi?Ushindani ni Mkubwa Kiasi gani?Mtaji unatosha?Nani msimamizi wa Biashara?Koma nalo kwanza uzoefu wake utakufungulia Milango mingine.
 
Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Anzisha danguro.
 
Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Hakuna biashara nzuri kama duka genge...jaribu kuhama...nenda nje ya mji...kwenye miji mipya...i.e.Mpiji Magohe
 
Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Mkuu,biashara ya duka sio biashara.So Sema tu una duka ila sio biashara.Soa sema sasa ninaduka ila ninataka kuanza biashara ili uambiwe namna ya kulifanya duka lako liwe biashara au namna ya kufanya biashara....Biashara inapaswa Ikupe faida ya kutosha kujiendesha na kuendesha maisha yako pamoja na ziada kwa ajili ya akiba au uwekezaji mwingine.Ikikosekana hiyo basi sio biashara bado....
 
Mkuu,biashara ya duka sio biashara.So Sema tu una duka ila sio biashara.Soa sema sasa ninaduka ila ninataka kuanza biashara ili uambiwe namna ya kulifanya duka lako liwe biashara au namna ya kufanya biashara....Biashara inapaswa Ikupe faida ya kutosha kujiendesha na kuendesha maisha yako pamoja na ziada kwa ajili ya akiba au uwekezaji mwingine.Ikikosekana hiyo basi sio biashara bado....
Asante kwa ushauri nitaufia kaki
 
Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Duka la jumla la pombe kali na mvinyo
 
Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Duka la jumla la pombe kali na mvinyo
 
Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye biashara gani tofauti naduka ili initoe nilipo na kupiga hatua zaidi
ASANTENI SAANA.
Ongeza kiduka chengine ukusanye faida sehem mbili

Tafuta location ambayo watu ndio wanaanza makazi lakini panapokua kwa kasi kama alivyokushauri mdau hapo waweza kuta hapo pakakuamsha hilo ulioanza nalo likawa mbadala tu
 
Mkuu,biashara ya duka sio biashara.So Sema tu una duka ila sio biashara.Soa sema sasa ninaduka ila ninataka kuanza biashara ili uambiwe namna ya kulifanya duka lako liwe biashara au namna ya kufanya biashara....Biashara inapaswa Ikupe faida ya kutosha kujiendesha na kuendesha maisha yako pamoja na ziada kwa ajili ya akiba au uwekezaji mwingine.Ikikosekana hiyo basi sio biashara bado....
Kila mtu na kitu chake alichopewa na Mungu...
Kuna watu MADUKA kwao ndio maisha....na kwa wengine duka kamwe hawaliwezi hata awekeze milioni ngapi hatasonga......
 
Back
Top Bottom