mamii90
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 380
- 266
wakuu
Nimepata frem kwenye eneo la shule mwanzoni wakati naitafuta nilikua nataka kuweka saluni ya kunyoa ila wameniambia saluni hapana maana lile eneo vyakula vinapikwa sana kwa hiyo itakua haiendani na hiyo biashara.
kwa hiyo wameniambia niangalie ingine.kwa pale ki ukweli wanafunzi ni wengi ila biashara ziko nyingi sana za vyakula na steshenar ndo vipo vingi
sasa nauliza kwa mazingira haya nifanye biashara gani
Nimepata frem kwenye eneo la shule mwanzoni wakati naitafuta nilikua nataka kuweka saluni ya kunyoa ila wameniambia saluni hapana maana lile eneo vyakula vinapikwa sana kwa hiyo itakua haiendani na hiyo biashara.
kwa hiyo wameniambia niangalie ingine.kwa pale ki ukweli wanafunzi ni wengi ila biashara ziko nyingi sana za vyakula na steshenar ndo vipo vingi
sasa nauliza kwa mazingira haya nifanye biashara gani