Nifanye kazi gani nipate laki tano kwa siku 30?

Fungua mama ntilie watu wanaidharau lakini inalipa kama ww mwenyewe ukijitambua usikubali kuchanganya mapenz na masuala ya kushikana ovyo ukijiheshimu ili uweze kuattract wateja kwa siku utapata ela nyingi angalia eneo lenye population,mtaji,usafi utapiga pesa mwenyewe utashangaa by Armando
 
Kwa maelezo ya mtoa mada haitaji biashara kubwa ya ku-sattle sehemu moja, anahitaji biashara ya supply ambayo kwasiku hakosi 20,000/= nilimuelewa ndio maana nikamwambia anicheki
 
Kwa maelezo ya mtoa mada haitaji biashara kubwa ya ku-sattle sehemu moja, anahitaji biashara ya supply ambayo kwasiku hakosi 20,000/= nilimuelewa ndio maana nikamwambia anicheki
Ni kweli lakini ni ngumu sana labda uumpe connection
 
Laki tano kwa mwezi inawezekana ila kwa kazi isiyo halali


Kubet sikushauri watu wanaliwa mikeka balaaa na au unaweza shinda kwa kuhangaika sana
 
Kazi haramu kama IPI? Mwenyewe naitaka hiyo hela faster ila haramu hiyo isiwe ujambazi wala kubeba madawa
Nilifikiri utasema isiwe na kuuza papa,uza papuchi mimi ntakuwa mteja wako wa kwanza,uza uwe kama rafiki ako kidoti
 
Ndugu swala hilo haliji ghafla inahitaji mipango mikakati,inawezekana umejenga kwa hela ya mkopo sasa si unaona ulipoishia! angalia tatizo kubwa linaloikabili jamii yako na fanya utatuzi ili upate pesa, kama wewe ni wale mabishoo mnaobagua kazi sidhani kama utaweza
Unaweza pia ukajifanya mganga kwa kuhamia sehemu wasiyokufahamu, andika unasababisha ndoa ya haraka na kuongeza nguvu za kiume hasa kwa mkoa wa Dar, fanyia hili kazi halafu leta mrejesho.
 
Hii kitu ni kweli kabisa ushauri huu aufanyie kazi na kwa hapo Dodoma inawezekana kabisa
 
Cheki hii website ya freelancing ya bongo, ni mpya ndo imeingia hewani. Ajiras: A Freelance Services Marketplace. Jiajiri Sasa
Unahusu kuuza huduma yoyote halali kulingana na ujuzi wako. Na pia ina app ya simu inaitwa Ajiras.

Cheki baadhi ya kazi zilizoanza kuwekwa. Yani humo ni wewe tu na mautundu yako. Ni kama ebay ila badala ya kuuza bidhaa, unauza ujuzi, kazi na huduma. Itaanza kutangazwa rasmi kwenye tv, radio na social media wiki inayoanza kesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…