Nifanye Mapenzi, Ama Nisifanye?

aah hapa umeongeza chumvi
Mkuu, kama ilivyo walokole wanavyotaka siku moja mtu aokoke, sipo religious ila kwa mimi naombea iwe huwa unatania (ingawa kama una tania maneno yako yanaweza kupoteza watu na kupitia karma yakakuathiri wewe. Kama ni muumini kweli, jitahidi upunguze na hatimae uache
 
nitanie ili iweje ?
ndiyo napiga nyeto mara 4 kwa siku, asubuhi mchana, jioni na usiku kabla kulala
siku za mvua na kipupwe napiga mpaka mara 5 au 6

nimenunua BabyCare ya 500g ( inauzwa Tsh 5000 tu ) ambayo huchukua takriban miezi 7 kuisha
nina erotic vids kadhaa za kupigia nyeto

nilianza rasmi kupiga nyeto full time Dec 2020 baada ya kuvunja mahusiano ambayo sikuona umuhimu wake ( yaliyodumu miezi 5 hivi )

SIACHI NYETO
 
Wakataa ndoa wako jf tu, huku mtaani ndoa ziko kila siku.

Usipoteze muda wako kuanza kuelimisha watu juu ya suala la ndoa.
 
Subr madhara mzee acha iyo mamb
 
Utaacha tu ukikutana na mtelezo OG. Wanaume wote tunapenda vitu vzr, halisi na OG. Hapo unachofanya ni sawa na mtu anayeshika mfuniko wa sado akiassume anaendesha gari kali, siku akipata gari kali atatupa mfuniko.
 
Utaacha tu ukikutana na mtelezo OG. Wanaume wote tunapenda vitu vzr, halisi na OG.
utelezo wa Babycare ni OG maana hauna vimelea vya Gono,HPV, Kaswende, Warts wala UTI

na nakojoa 24/7 bila kupangiwa
 
utelezo wa Babycare ni OG maana hauna vimelea vya Gono,HPV, Kaswende, Warts wala UTI
Mtu aliyeshika mfuniko wa ndoo huku akijiambia anaendesha gari hapati ajali wala breakdown ila siku akipata gari anautupa huo mfuniko na hatojali kuhusu ajali.

Utapata tu gari na huo mfuniko utautupa.
 
hapana, izo sindano za PowerCef mkidungwa nyie inatosha
Ni sindano za nn hizo? Zinahusiana vipi na joto tunalopata wakati wa kumwingilia mwanamama mnono mwenye sauti na vilio OG?
 
Sawa kama huna majibu. Ila hilo igizo unalolifanya unakosa jambo zuri sana. Siku ukilipata utaachana kabisa na uigizaji.
fapper and proud, siachi nyeto ng'o
 

Kwa ufupi, ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa. Tendo la ndoa linaweza kupungua kadiri ya siku zinavyokwenda, lkn kifungo cha ndoa kinapaswa kuzidi kuwa imara.
 
As long as wewe ni mwanaume na rijali, Utaacha tu wala sina haja ya kubishana na wewe.
nna miaka miwili sasa unaelekea watatu, sitoacha
ntapiga nyeto

kama mbali kama ina save pesa zangu ni kuniweka mbali na magonjwa yenu ya kifedheha na aibu
 
nna miaka miwili sasa unaelekea watatu, sitoacha
ntapiga nyeto

kama mbali kama ina save pesa zangu ni kuniweka mbali na magonjwa yenu ya kifedheha na aibu
Hizi kelele zoote sijui pesa mara magonjwa ni poyoyo tu.

Uume ni kwa ajili ya mwanamke, pumbu zinahifadhi mbegu, mbegu ni kwa ajili ya mwanamke. Mwanaume ni kwa ajili ya mwanamke. Ukishaumbwa mwanaume rijali ubongo wako utakupeleka kwa mwanamke tu. Ukimkosa ndo unajipooza pooza na hizo nyeto ili usizidiwe ukawa taahira, ndo maana nina uhakika siku ukipata mwanamama OG nyeto utaiacha tu.
 
mwanamama OG nyeto utaiacha tu.
been there done that, ni utapeli tu na vyanzo vya ujuha na magonjwa
eti nimiliki kiumbe mwenye ku-offer uch1 ? huku akivuna dimes zangu kirahisi eeh
mnapigwa sana huko mliko, poleni
 
been there done that, ni utapeli tu na vyanzo vya ujuha na magonjwa
eti nimiliki kiumbe mwenye ku-offer uch1 ? huku akivuna dimes zangu kirahisi eeh
mnapigwa sana huko mliko, poleni
Magonjwa, utapeli, pesa hazijawahi kuwa na uwezo wa kufuta utamu wa kumwingilia mwanamke. Kama hilo ndo tatizo lako basi nyeto utaacha tu ni suala la muda huo mtazamo utafutika as long as wewe ni mwanaume rijali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…