Nifanye nini ili niache umbea


Love this. Umeandika vizuri hadi raha.
 
hatuwez kusema moja kwa moja ni tabia ya kuzaliwa au kurithi lakn kulingana na uhalisia wa tabia yenyew yaweza kuondoka klingana na aina ya maisha ulojiwekea au kubadilisha mazingira unayoishi kiujumla ikiwemo watu wanokuzunguka, rafk na watu wengine pia jitahid sanaa kutafuta kijkaz au kitu chochot mfano mazoez ya hapa na pale yaweza kukusaidia kuachana na tabia iyo sababu unapoteza ving vya muhimu.........
!
 
1.Bila shaka insta LAZIMA wewe ni follower wa Mange. Bisha!!

2. Ile app ya Wema mwezi huu umelipia ?
 
Mwamini Yesu Kristo ..nenda kanisani ukaombewe...Soma biblia takatifu ...Jifunze maneno ya Mungu ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…