hailey berry
Member
- May 22, 2017
- 38
- 66
Mm sioni kama kuna shida saana hapo karibu kila mwanadamu ana tabia kama yako ila kwa kiwango tofauti , kwa ku proove hilo ndio maana Tasnia ya habari ndio chanzo kikubwa cha utajiri , matajiri wengi wa dunia yetu wanamiliki vyombo vya habari,kupenda kujua nn kinatokea duniani inaonyesha jinsi gani ulivyo up to date, tatizo linakuja pale unapoitumia hiyo habari kwa makusudio tofauti. kupenda kujua yanayotokea kwa majirani pia sio mbaya ubaya ni pale unaposambaza yale uliyoyajua kwa mtazamo HASI.
Nikikuangalia kwa jicho la jingine wewe ni mwanahabari by nature ila hujakitambua kipaji chako!usikwazike na maneno ya watu wote tuliomo humu JF tuna tabia zinazokaribiana na zako tunapenda kujua nini kinatokea duniani mpk kwa jirani zetu vinginevyo hii forum isinge exist.
Love this. Umeandika vizuri hadi raha.