Nifanye nini ili nife kiurahisi bila kuteseka?

Nifanye nini ili nife kiurahisi bila kuteseka?

Komaa acha mawazo mafupi hayo, unahisi huko uendako ndo kwenye urahisi wa maisha? Converge your mind kuna watu wanaishi maisha magumu bt still wapo happy na maisha yanaendelea.
 
We ni kilema au? Kama una viungo vyote nakushauri rudi kijijini kalime na hutakaa ukafikiri huo ujinga. Pia naona kama akili yako imevurugwa sana jaribu kujichanganya na vijana kwenye mazoezi kuondoa stress.

Mwisho ukishindwa kabisa na kuendelea kuwa na hilo wazo nakushauri bado nenda kawaage wazazi na ndugu zako na wao watakupa ushauri kama ujiue au vipi? Tambua kujiua ni kuleta laana ya yako familia na kuacha mikosi isiyokwisha.

Natambua wewe ni mtu mhimu kwenye familia yako na hakuna ubishi kwa hilo na pia kumbuka sio kila wazo ni jema katika maisha.

Mwisho kabisaaa punguza starehe zisizo za mhimu maana unakili ulifukuzwa kazi na kwa maelezo hayo maanake ulikuwa huweki akiba yoyote. So ukipata kibarua basi heshimu mshahara wako na punguza starehe za kijinga.
 
Tubu dhambi zote halafu umuombe Mungu akujaalie siku ya kufa, ufe kifo chema.
 
Habari za muda huu wapendwa wanachama wa jamii forums,

Awali ya yote nawashukuru kwa kipindi chote mlichokuwa na mimi mpaka hivi sasa ambapo naelekea kufa na hamtaniona tena humu ndani,

Kwa kifupi nahitaji ushauri wenu juu ya nini nifanye au nijiue vipi ili nife kiurahisi?, manake nilijaribu kujinyonga nilipotest tu kupiga kistuli teke nikaona nabanwa haja kubwa kwa ghafla na mbele sioni kitu yaani naona giza tuu hiki kifo cha kujinyonga sikiwezi kabisa yaani ili nife mpaka nishushe mzigo kwanza halafu nakufa huku nimetumbua mimacho aisee siwezi kujinyonga,
Kama haikutosha nikanunua maji ya betri ya gari nikataka kunywa ila yalipofika kwenye ulimi tu nikahisi kama ulimi unakatika nikayamwaga na sikutekeleza kusudio langu mpaka hivi sasa nashindwa nijiue vipi manake ugumu wa maisha + kufukuzwa kazi + manchester kutufunga juzi naona sina thamani kabisa hapa duniani ,

Mtanisamehe nyote niliowaudhi kwa namna moja ama nyingine naombeni mnipe ushauri mzuri wa namna gani ninaweza kujiua bila kuteseka mpaka kufikia kukata roho,

NASUBIRI MAWAZO YENU ILI NITEKELEZE KUSUDI LANGU.

Adolf Hitler alimuliza daktari wake njia rahisi ya kufa alimjibu kujipiga risasi au kunywa hydrogen cynide, kimya kimya bila maumivu
 
Mkuu usijiue ili kuyakwepa yote Magumu katika dunia hii ya muda mfupi tu.

Huwezi jua huko ndipo kuna maisha magumu na machungu zaidi ya hapa, jipe moyo. Jikaze Mkuu na tuliendeleze Gurudumu.

Mungu ni mwema, katuandalia mauri zaidi. Ukiona umejaribu mara
kadhaa kujiua lakini hujafanikiwa, basi ujue Mungu ana kusudi nawe. Rudisha moyo nyuma, ya dunia yatakwisha kwa wakati muafaka.

Mungu akubariki.
 
Kama sababu zako ndio hizo vijijni pasingekuwa na watu. Chakula hamna, hela hamna na Yanga kapigwa..... Ila bado tuna enjoy life. Ukifa huku kwetu tutakuweka kwenye listi ya vifo vya kifala.
Mkuu unaufahamu uchungu wa jana ulikuwa una mke una pesa una kazi nzuri unaamka ukijua ratiba ya kesho kuwa utakula , utavaa nini ghafla unakuja kushtuka huna chochote wala lolote na kibaya zaidi hata baadhi ya ndugu zangu wameshanitenga juu ya roho mbaya niliowafanyia walipokuwa wakitaka kuja kunitembelea nilibadili sim card dah ama kweli nimeamini dunia ni duara.
 
Pole mkuu... Wewe sio wa kwanza kupitia hayo unayopitia. Iwapo kuna sehemu umekwama usisite kuomba msaada kwa watu wa karibu... Usijaribu kuibeba Dunia peke yako... Mwisho wa siku utayashinda hayo yote na utajilaumu kwa nini ulitaka kujiondoa Duniani...
Mkuu ni nani wa kumuomba ushauri akanisaidia au akanielewa ?
NISIKUFICHE ukweli ni kwamba kipindi nina kazi nzuri marafiki zangu walikuwa wenye pesa tu niliishi maisha ya kujitenga na upendo wa utu hapa nilipo nimetengwa na wana ukoo wote kwa kuwa sikutaka mahusiano wala mawasiliano nao katika kipindi kizuri cha maisha yangu.
 
Wewe ni wa thamani sana na Mungu anakupenda sansana anajua kuingia kwako na kutoka kwako ndio maana unausoma ujumbe huu,jipe moyo yana mwisho,hata usiku uwe mrefu vipi lazima asubuhi ifike,usikae peke yako,jikaze inuka hapo ulipo jichanganye fanya kazi hata ya zege yapo maeneo kuna vibarua kila siku utashangaa hata mchana unapita jioni inafika,mkuu lipo tumaini la kuwa na mafanikio zaidi na zaidi ukimtegemea Mungu,atakuchukua kwa wakati wake,tunakupenda tunatamani uendelee kuwapo hapa tuone michango yako,Mungu akubariki.
 
Mkuu ni nani wa kumuomba ushauri akanisaidia au akanielewa ?
NISIKUFICHE ukweli ni kwamba kipindi nina kazi nzuri marafiki zangu walikuwa wenye pesa tu niliishi maisha ya kujitenga na upendo wa utu hapa nilipo nimetengwa na wana ukoo wote kwa kuwa sikutaka mahusiano wala mawasiliano nao katika kipindi kizuri cha maisha yangu.
Pole,usiogope waombe radhi anza upya,watakuelewa.Mungu akusaidie
 
Kifo kizuri ni kufa ukiwa umelala (lakini hii hupangi wewe)

Vifo vingine vyote majanga

Inasemekana hata ugongwe na gari uwe kama chapati ubongo utaendelea kufanya kazi kwa sekunde kadhaa hakuna kifo cha moja kwa moja lazima ushuhudie Islael anavyotoa roho and you must suffer to the consequences.
Dah mkuu nilikuwa nawaza kujitupa kwenye scania kumbe bado nitahisi maumivu tu.
 
Pole sana mkuu, hiyo ni roho ya kukata tamaa, kama ugumu wa maisha ni asilimia kubwa ya watanzania sio wewe pekee, kama umefukuzwa kazi wewe sio wa kwanza kufukuzwa, isitoshe mshukuru Mungu kwa hilo maana hujui umeepushiwa kitu gani, swala la kufungwa sidhani kama lina mantic kwani katika michezo kuna kufunga na kufungwa, so inabidi kukubali matokeo, ingekuwa kila anaefungwa anajiua basi hata wachezaji tusingekuwa nao. Cha kukushauri, be strong wewe ni mwanaume, tafuta shughuli yoyote ufanye, usiweke vitu rohoni, mueleze hata dada/kaka/mama/baba, usikae peke yako na mwisho muombe Mungu wako kwa imani akusamehe kwa dhambi unayotaka kufanya..
 
Back
Top Bottom