Nifanye nini Ili nipate pesa ya kujitegemea mimi mwenyewe?

Nifanye nini Ili nipate pesa ya kujitegemea mimi mwenyewe?

Maduhu James

New Member
Joined
Mar 30, 2023
Posts
3
Reaction score
8
Kwa jina naitwa MJ John
Ninaishi Bariadi Simiyu na wazazi wangu. Umri wangu ni miaka 17 Ninasoma kidato Cha nne na mwaka huu namaliza elimu yangu ya sekondari, lakini nakabiliwa na changamoto ambayo inanitatiza sana . Nyumbani ninapo ishi baba na mama Huwa hawaelewani Huwa wanagombana sana tu
kifedha hatuko vizuri sana.

Nilikuwa na mpango wa kujiajiri kazi za mtandaoni lakini imekuwa ngumu sana kuzipata nikafikilia kuanza biashara ya kuuza bidhaa wakati huo nikiwa nasoma shule.

Changamoto
Changamoto yangu niwazazi wananikatisha tamaa sana hawanipi muda wa kutafuta mtaji mdogo wakati wa wikend wao wanasema nitulie tu nyumbani nisome wakati huo hawanipi hata pesa ya mahitaji yangu

Na Mimi nikiangalia Nina huaba mkubwa wa mahitaji yangu na ninauwezo wa kupata pesa weekend. Je, nifanye nini Ili nipate pesa ya kujitegemea Mimi mwenyewe.

Au kama ni ngumu sana mwaweza kunielekeza jinsi gani ya kufanya kazi mtandaoni na kulipwa.
ASANTENI SANA
 
Hii ndio tanzania ya baadae kijana wa form 4 huna maamuzi hujui nn ufanye kwa muda na nafasi uliopo sio kwamba kusema unataka ujitafutie hela ni sifa mm nakuona mjinga dogo hujui upo kwenye kipindi gani ukatulia ukakipita hiko kipindi kilabjambo n wakati wake umepata nafasi ya kusoma soma kwa bidii hela unatafuta ukiwa huru na maisha .

Kesho tutalalamika hatuna viongozi wwnye maono lakini wanaanzia huku huku form 4 mzima hujielewi huna mipango na maisha hujui uanze na nini umalize na nn
 
Kwa jina naitwa mj John
Ninaishi bariadi simiyu na wazazi wangu,
Umri wangu ni miaka 17
Ninasoma kidato Cha nne na mwaka huu namaliza elimu yangu ya sekondari,
lakini nakabiliwa na changamoto ambayo inanitatiza sana
Nyumbani ninapo ishi baba na mama Huwa hawaelewani Huwa wanagombana sana tu
kifedha hatuko vizuri sana


Nilikuwa na mpango wa kujiajiri kazi za mtandaoni lakini imekuwa ngumu sana kuzipata nikafikilia kuanza biashara ya kuuza bidhaa wakati huo nikiwa nasoma shule
Changamoto
Changamoto yangu niwazazi wananikatisha tamaa sana hawanipi muda wa kutafuta mtaji mdogo wakati wa wikend wao wanasema nitulie tu nyumbani nisome wakati huo hawanipi hata pesa ya mahitaji yangu
Na Mimi nikiangalia Nina huaba mkubwa wa mahitaji yangu na ninauwezo wa kupata pesa weekend
Je nifanye nini Ili nipate pesa ya kujitegemea Mimi mwenyewe
Au kama ni ngumu sana mwaweza kunielekeza jinsi gani ya kufanya kazi mtandaoni na kulipwa
(ASANTENI SANA)
Kama umeweza kuandika hivi,basi unajua kabisa cha kufanya kwenye hilo swala!!!!
 
Ebu focus upate cheti Cha form Four kwanza then necta ukimaliza utaweza ku-focus na street life easily . tu

Pia hongera kwa umri wako 17 years kujua kutumia mtandao wa Great thinkers Kama JF sio Jambo Rahisi na una Mwandiko mzuri Sana.
 
Mbona kijana yupo smart upstairs sema nyie wazee mnachuki na watu Sana
Hii ndio tanzania ya baadae kijana wa form 4 huna maamuzi hujui nn ufanye kwa muda na nafasi uliopo sio kwamba kusema unataka ujitafutie hela ni sifa mm nakuona mjinga dogo hujui upo kwenye kipindi gani ukatulia ukakipita hiko kipindi kilabjambo n wakati wake umepata nafasi ya kusoma soma kwa bidii hela unatafuta ukiwa huru na maisha .

Kesho tutalalamika hatuna viongozi wwnye maono lakini wanaanzia huku huku form 4 mzima hujielewi huna mipango na maisha hujui uanze na nini umalize na nn
 
Greet thinker wa jf wa sikuhizi wengi vilaza hivi kweli mmeshindwa namna ya kumshauri dogo namna ya kupata kipato mtandaoni Naona wengi mmekazana soma soma Kwani kuna sehemu ameandika anataka kuacha shule ili atafute pesa au wazazi hawana pesa ya kumsomesha . Du
Kweli JF haina tofauti na FACEBOOK now days [emoji849]
 
Greet thinker wa jf wa sikuhizi wengi vilaza hivi kweli mmeshindwa namna ya kumshauri dogo namna ya kupata kipato mtandaoni Naona wengi mmekazana soma soma Kwani kuna sehemu ameandika anataka kuacha shule ili atafute pesa au wazazi hawana pesa ya kumsomesha . Du
Kweli JF haina tofauti na FACEBOOK now days [emoji849]
Mpe sasa ushauri mkuu.
 
Greet thinker wa jf wa sikuhizi wengi vilaza hivi kweli mmeshindwa namna ya kumshauri dogo namna ya kupata kipato mtandaoni Naona wengi mmekazana soma soma Kwani kuna sehemu ameandika anataka kuacha shule ili atafute pesa au wazazi hawana pesa ya kumsomesha . Du
Kweli JF haina tofauti na FACEBOOK now days [emoji849]
Great thinker bizzle for shizzle , hebu toa ushauri wako tuone. Natumai hautakuwa wa ovyo kama unaotolewa na watu kutoka Facebook, Tunasubiri kuona ushauri wako Great thinker[emoji3060][emoji3060]
 
Kwa jina naitwa MJ John
Ninaishi Bariadi Simiyu na wazazi wangu. Umri wangu ni miaka 17 Ninasoma kidato Cha nne na mwaka huu namaliza elimu yangu ya sekondari...
Sahii focus kwanza kwenye masomo upate cheti kwanza, Kwa maana kwamba Fanya necta then unavyo subiri majibu utakuwa na muda mwingi wakutafuta pesa ndugu yangu baada kutoka majibu ya necta akili itatulia mdogo wangu zidi kumwomba mungu mungu ufaulu necta
 
Hii ndio tanzania ya baadae kijana wa form 4 huna maamuzi hujui nn ufanye kwa muda na nafasi uliopo sio kwamba kusema unataka ujitafutie hela ni sifa mm nakuona mjinga dogo hujui upo kwenye kipindi gani ukatulia ukakipita hiko kipindi kilabjambo n wakati wake umepata nafasi ya kusoma soma kwa bidii hela unatafuta ukiwa huru na maisha .

Kesho tutalalamika hatuna viongozi wwnye maono lakini wanaanzia huku huku form 4 mzima hujielewi huna mipango na maisha hujui uanze na nini umalize na nn
Ndio maana kuna platform kama hii, ndio maana neno ushauri likawepo.

Kukiwa na kizazi cha watu wazima wapuuzi kama wewe ndgu hakika kizazi kijacho kitapotoka sana.

Kwanza ingetakiwa umsifu dogo kwa hili bandiko lake hapo, wewe ulikua mboga 7, hujuo hali wanayopitia watoto wasiojiweza.
Ndio maana chalii yupo dilema, huko shule bila pesa ni majanga.

Bado ni mtoto huyo mpe ushauri sio hayo masimango ya kujikweza yasiyo na kichwa wala miguu.
 
Greet thinker wa jf wa sikuhizi wengi vilaza hivi kweli mmeshindwa namna ya kumshauri dogo namna ya kupata kipato mtandaoni Naona wengi mmekazana soma soma Kwani kuna sehemu ameandika anataka kuacha shule ili atafute pesa au wazazi hawana pesa ya kumsomesha . Du
Kweli JF haina tofauti na FACEBOOK now days [emoji849]
Mimi nipo upande wa wazazi wake, unadhani kumake money online ni easy itakuchukua mda sana.
Imebaki miezi kadha tu amalize four mtihani wa nacte anaona simple tu ni simple kwa wale wa top 5 kimkoa shule za pesa nyingi kule hamna kilaza[emoji23][emoji23]
Asome kwanza akienda chuo afanye anachotaka aingie class huku anasoma jinsi ya kutengeneza hela online
 
Hii ndio tanzania ya baadae kijana wa form 4 huna maamuzi hujui nn ufanye kwa muda na nafasi uliopo sio kwamba kusema unataka ujitafutie hela ni sifa mm nakuona mjinga dogo hujui upo kwenye kipindi gani ukatulia ukakipita hiko kipindi kilabjambo n wakati wake umepata nafasi ya kusoma soma kwa bidii hela unatafuta ukiwa huru na maisha .

Kesho tutalalamika hatuna viongozi wwnye maono lakini wanaanzia huku huku form 4 mzima hujielewi huna mipango na maisha hujui uanze na nini umalize na nn
Uandishi wa kijana unaonyesha kichwani ana kitu hakukua na haja ya kumtamkia maneno kwamba hajielewi.
Unataka kutuambia mkuu ulivokua na miaka 17 ulishakua na long term plans tayari kwenye maisha yako ?
 
Kwa sasa kazi yako pesa yako ajira yako ni kutabu maliza kwanza shule mengine utayakuta kila kitu na wakati wake
Wakati huu wa kusoma soma sana
Ikifika wakati wa ajira sio mbali utafanya sana mpaka utachoka
 
Back
Top Bottom