Achana nae huyo mkuu pumba talkerMbona kijana yupo smart upstairs sema nyie wazee mnachuki na watu Sana
Sasa si kila Mtu anamshauri kwa njia anayoijua na inayompatia pesa,Sasa Kama Mtu ka win life kupitia elimu yake unategemea aje na mawazo ya ki mission town Kama yako!!??Greet thinker wa jf wa sikuhizi wengi vilaza hivi kweli mmeshindwa namna ya kumshauri dogo namna ya kupata kipato mtandaoni Naona wengi mmekazana soma soma Kwani kuna sehemu ameandika anataka kuacha shule ili atafute pesa au wazazi hawana pesa ya kumsomesha . Du
Kweli JF haina tofauti na FACEBOOK now days [emoji849]