Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Kingereza kingi sana, sie wamachinga tunashindwa kukushauri sababu hatukielewi hicho kikristo
 
Tuwasiliane ifikapo Tarehe 01/ 03/ 2019, Je kwanini iwe hiyo tarehe?? , Nina sababu.
Ndio yawezekana ukapata zaidi ya 200,000 kila wiki.
Mkuu Mwl.RCT salaam, na mimi naomba niwemo kwenye kundi hata kama mtaji ni wa zaidi kidogo ya hapo, tunakushukuru.Ahsante mleta mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…