Nifanye nini kufukuza mijusi ndani?

Nifanye nini kufukuza mijusi ndani?

Classic 1

Senior Member
Joined
Sep 11, 2021
Posts
117
Reaction score
113
Nitumie dawa gani kuwaua au ku-repel mijusi? I'm serious on this guys. sipendi kuiona mijusi kwenye kibanda changu.

Mwenye uzoefu tafadhari.
 
Utaua watoto wako bure..waache tu
 
Mijusi ni reptilia hawana noma kabisa na wanasaidia sana kukamata na kuua wadudu wadogo wadogo ambao wewe huwezi kuwaona au kuwadhibiti.

Kwenye majanga kama tetemeko la ardhi n.k mijusi ndio wanatumika kama chakula wanaliwa kama umekwama au umefukiwa chini. Tusiwachukie mijusi wapo poa sana.
 
Mijusi ni reptilia hawana noma kabisa na wanasaidia sana kukamata na kuua wadudu wadogo wadogo ambao wewe huwezi kuwaona au kuwadhibiti.

Kwenye majanga kama tetemeko la ardhi n.k mijusi ndio wanatumika kama chakula wanaliwa kama umekwama au umefukiwa chini. Tusiwachukie mijusi wapo poa sana.
Weee...! Mijusi hasa hawa wa majumbani Wana sumu hatari. Kuna family mjusi alitumbukia ndani ya mboga bila wao kujua,kesho wakaila ile mboga,bahati nzuri mtoto wa form one akawa anafika akawakuta wako hoi,wakawawahisha hospital. Hospital ikabidi kiletwe kile chakula,kukipekua wakakuta mjusi kwa chini.
 
Mijusi ni reptilia hawana noma kabisa na wanasaidia sana kukamata na kuua wadudu wadogo wadogo ambao wewe huwezi kuwaona au kuwadhibiti.

Kwenye majanga kama tetemeko la ardhi n.k mijusi ndio wanatumika kama chakula wanaliwa kama umekwama au umefukiwa chini. Tusiwachukie mijusi wapo poa sana.
wataalam wa Ecosystem
 
Weee...! Mijusi hasa hawa wa majumbani Wana sumu hatari. Kuna family mjusi alitumbukia ndani ya mboga bila wao kujua,kesho wakaila ile mboga,bahati nzuri mtoto wa form one akawa anafika akawakuta wako hoi,wakawawahisha hospital. Hospital ikabidi kiletwe kile chakula,kukipekua wakakuta mjusi kwa chini.
Dah! Inasisimua kidogo..

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Tumia matawi ya kisamvu. Weka chini kwenye kona ya chumba. Kila kona unaweza kuweka matawi mawili mpaka matatu. Hakikisha yanaonekana vizuri kutokea juu kwenye kuta anakokuwa mjusi. Unaweza ukaweka na kona za nje pia. [emoji116]
20220422_075515.jpg
 
Mambo mengine unaweza onekana mchawi tu
1. Matendo ya mtu yako moyoni mwake. Usiangalia nani anasema nini kama dhamira yako ni safi. (Vinginevyo labda uwe mchawi kweli).
2. Mimi napenda sana kutumia miti kujitibu kuliko hizo za kisasa
3. Nyumba ni yako nani atakuja kukukagua?. Hicho kisamvu sio blah blah,inafukuza kweli
 
Mambo mengine unaweza onekana mchawi tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wageni wakija, hawatoweka comment yoyote, Ila wataondoka na majibu yao kichwani. Unaweza hisiwa mshirikina kweli
 
Mijusi ni reptilia hawana noma kabisa na wanasaidia sana kukamata na kuua wadudu wadogo wadogo ambao wewe huwezi kuwaona au kuwadhibiti.

Kwenye majanga kama tetemeko la ardhi n.k mijusi ndio wanatumika kama chakula wanaliwa kama umekwama au umefukiwa chini. Tusiwachukie mijusi wapo poa sana.
Hao wadudu siwapendi viabaya mno
 
Back
Top Bottom