Habari wana jukwaa,
Nina pikipiki ya kutembelea ambayo nilikua namiliki kabla ya kumachia rafikiyangu anihifadhie kwa kipindi ambacho nilisafiri. Naye akampitia mtu asiyekua na lesen ili aendeshe. Kwa bahati mbaya mtu aliye pewa pikipiki alisababisha ajali ambapo alimgonga mtu na kumtengua mguu ingawa mwenyewe alisema mguu umevunjika. Pikipiki ilikamatwa na kupelekwa kituoni.
Nilipo ifuatilia nikatakiwa nimpeleke mtu niliye mkabidhi, ndipo akawekwa chini ya ulinzi na kukamatwa kwa kumkabidhi chombo cha moto mtu asiye na lesen. hadi sasa watuhumiwa (aliye sababisha ajali na aliemkabidhi pikipiki) wapo nje kwa dhamana. Nilipo endelea kufuatilia pikipiki yangu, Nilieleza ukweli wa makosa ya pikipiki yangu kwa mkuu wa kituo, akaniambia nisubiri niandikiwe makosa nilipe faini kitu ambacho nilikua tayali kukitekeleza.
Nikamfuata askari alie kua anahusika kuandika makosa, akaniambia niende kwa askari aliye ikamata pikipiki yangu kwani ndiye anaye tambua makosa yangu. Nilipo mfuata yule alie ikamata akakataa. nikamueleza kua makosa yote mkuu anayajua na amsema niandikiwe makosa yangu ili nilipe fain. Afande huyo alinituma nikamuulize mkuu kwamba waniandikie makosa gani? Swali ambalo lili mkera mkuu na kumuita afande yule.
Afande alipo ulizwa kwann hataki kunipatia pikipiki yangu ilihali nipo tayari kulipia faini? akaseama pikipiki haitoki hadi kesi itakapo fika mahakamani. Mkuu aliuliza iwapo kesi imesha funguliwa Askari yule alisema kesi imesha funguliwa ilihali kesi haijafunguliwa mahakamani hata mlalamikaji (aliye gongwa) hana mpango wa kufungua kesi isipokua anaombatu apone salama na hana tatizo na mtu.
Mkuu alipo ambiwa kesi imesha funguliwa akaniambia nusubiri kesi ingawa mimi sihusiki na kesi ile Samahani sana wana jukwaa kwa maelezo marefu. Naomba kwa anae elewa sheria au utaratibu nifanye nini ili nipate pikipiki yangu maana imemaliza mwezi nina subiri kesi ikiwa mlalamikaji hayupo teyari kufungua kesi?
Nina pikipiki ya kutembelea ambayo nilikua namiliki kabla ya kumachia rafikiyangu anihifadhie kwa kipindi ambacho nilisafiri. Naye akampitia mtu asiyekua na lesen ili aendeshe. Kwa bahati mbaya mtu aliye pewa pikipiki alisababisha ajali ambapo alimgonga mtu na kumtengua mguu ingawa mwenyewe alisema mguu umevunjika. Pikipiki ilikamatwa na kupelekwa kituoni.
Nilipo ifuatilia nikatakiwa nimpeleke mtu niliye mkabidhi, ndipo akawekwa chini ya ulinzi na kukamatwa kwa kumkabidhi chombo cha moto mtu asiye na lesen. hadi sasa watuhumiwa (aliye sababisha ajali na aliemkabidhi pikipiki) wapo nje kwa dhamana. Nilipo endelea kufuatilia pikipiki yangu, Nilieleza ukweli wa makosa ya pikipiki yangu kwa mkuu wa kituo, akaniambia nisubiri niandikiwe makosa nilipe faini kitu ambacho nilikua tayali kukitekeleza.
Nikamfuata askari alie kua anahusika kuandika makosa, akaniambia niende kwa askari aliye ikamata pikipiki yangu kwani ndiye anaye tambua makosa yangu. Nilipo mfuata yule alie ikamata akakataa. nikamueleza kua makosa yote mkuu anayajua na amsema niandikiwe makosa yangu ili nilipe fain. Afande huyo alinituma nikamuulize mkuu kwamba waniandikie makosa gani? Swali ambalo lili mkera mkuu na kumuita afande yule.
Afande alipo ulizwa kwann hataki kunipatia pikipiki yangu ilihali nipo tayari kulipia faini? akaseama pikipiki haitoki hadi kesi itakapo fika mahakamani. Mkuu aliuliza iwapo kesi imesha funguliwa Askari yule alisema kesi imesha funguliwa ilihali kesi haijafunguliwa mahakamani hata mlalamikaji (aliye gongwa) hana mpango wa kufungua kesi isipokua anaombatu apone salama na hana tatizo na mtu.
Mkuu alipo ambiwa kesi imesha funguliwa akaniambia nusubiri kesi ingawa mimi sihusiki na kesi ile Samahani sana wana jukwaa kwa maelezo marefu. Naomba kwa anae elewa sheria au utaratibu nifanye nini ili nipate pikipiki yangu maana imemaliza mwezi nina subiri kesi ikiwa mlalamikaji hayupo teyari kufungua kesi?