Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
duh!! yan sijawah kuvutiwa kabsa na michomokoEzua uezeke tena, paa la kawaida!
Fundi Michael kashafanya yakeWakuu nisiwachoshe,kama picha inavoonyesha hapa[emoji116]nmejenga mfumo huu wa nyumba.Nifanye nini kuzuia maji kupenya ukutani na kuolowesha hadi ukuta wa ndani? kama kuna nyenzo naweza kutumia kutatua hili basi naombeni msaada[emoji120]View attachment 2451841View attachment 2451842
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
eee ntaweka kenop ya kukinga maji na kudrop kwa mabomba,yenyew haivuj hata kidogoHiyo nayo ni jamii ya contemporary au
ndyo mkuuPole sana
Refusha hilo bati litengeneze kama canopy ....
Ushauri
Mnapotaka kuezeka tafuteni fundi kwanza wa kukuelezea urefu na upana sahihi wa nyumba yako,utakao kusaidi kuchagua bati sahihi (gauge) za kuezekea
Ungekuwa hujapiga lipu, ningekwambia uchanganye udongo na water proof!eee ntaweka kenop ya kukinga maji na kudrop kwa mabomba,yenyew haivuj hata kidogo
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Wakuu nisiwachoshe, kama picha inavoonyesha hapa, nimejenga mfumo huu wa nyumba.
Nifanye nini kuzuia maji kupenya ukutani na kuolowesha hadi ukuta wa ndani? kama kuna nyenzo naweza kutumia kutatua hili basi naombeni msaada.
View attachment 2451842
Afu eti nilchangany kale ka pakt ka buku5 kamoja kwa mfuko ila naona inapenya tu au ipo nyingineUngekuwa hujapiga lipu, ningekwambia uchanganye udongo na water proof!
Refusha paa tatizo litaishaWakuu nisiwachoshe, kama picha inavoonyesha hapa, nimejenga mfumo huu wa nyumba.
Nifanye nini kuzuia maji kupenya ukutani na kuolowesha hadi ukuta wa ndani? kama kuna nyenzo naweza kutumia kutatua hili basi naombeni msaada.
View attachment 2451842
Bora ata wewe umenishauri vizur mwingne anasema niezeke mchomoko wakati syo chaguo lang.Asant mkuu[emoji120]Refusha paa tatizo litaisha
Nyumba za contemporary huwa zinamaliziwa na kaukuta ka zege kuzunguka nyumba nzima, tofali zinafyoza sana maji na zinachelewa kukaukaWakuu nisiwachoshe, kama picha inavoonyesha hapa, nimejenga mfumo huu wa nyumba.
Nifanye nini kuzuia maji kupenya ukutani na kuolowesha hadi ukuta wa ndani? kama kuna nyenzo naweza kutumia kutatua hili basi naombeni msaada.
View attachment 2451842
Vp nkibandika kigae mkuu au puty?Nyumba za contempory huwa zinamaliziwa na kaukuta ka zege kuzunguka nyumba nzima, tofali zinafyoza sana maji na zinachelewa kukauka