Nifanye nini kuzuia maji yasipenye na kulowanisha ukuta wa ndani?

Nifanye nini kuzuia maji yasipenye na kulowanisha ukuta wa ndani?

Vp nkibandika kigae mkuu au puty?
Kawaida maji huwa tunayacontrol kwa kutumia slope (muinuko). Sasa huko juu ili maji yasikae kwenye kuta ambayo yanafanya yafyozwe na tofali zinazofata wakati mvua inanyesha, tengeneza slope ndogo kwenye copping inayozunguka nyumba na sio lazima iwe ni slope ya kuonekana kwa macho, hata kukiwa na utofauti wa milimita 2 tu itatosha kuyaelekeza maji yaende mahali unapotaka yaende...kama ulishawahi kuona nyumba za contemporary utaona kule juu kuna kozi moja ya tofali huwa inalazwa mara nyingi huwa zinatumika tofali za nchi 4 japo wengine hupendelea kutumia zege mana zege haifyonzi maji mengi kama ilivyo kwa tofali (hii ndio tunaita copping wall). Wakati unaweka hiyo slope yako usisahau kuweka water proof kwenye udongo wako (wengine huwa wanapaka nilu kabisa).

Vipi kuhusu maji kuingia dirishani? Ukijenga contemporary ni vizuri ukaweka window cap (hii huwa tunaioteshea kwenye mkanda) ili kuzuia maji yanayotembea kwenye ukuta kuingia dirishani vinginevyo itakulazimu utoboe vitundu vidogo kwa nje kwenye alumunium case ili maji yasijae kwenye hako kamfereji ambapo vioo vinapita na kuingia ndani ambapo inaharibu muonekano ya dirisha
 
Kawaida maji huwa tunayacontrol kwa kutumia slope (muinuko). Sasa huko juu ili maji yasikae kwenye kuta ambayo yanafanya yafyozwe na tofali zinazofata wakati mvua inanyesha, tengeneza slope ndogo kwenye copping inayozunguka nyumba na sio lazima iwe ni slope ya kuonekana kwa macho, hata kukiwa na utofauti wa milimita 2 tu itatosha kuyaelekeza maji yaende mahali unapotaka yaende...kama ulishawahi kuona nyumba za contemporary utaona kule juu kuna kozi moja ya tofali huwa inalazwa mara nyingi huwa zinatumika tofali za nchi 4 japo wengine hupendelea kutumia zege mana zege haifyonzi maji mengi kama ilivyo kwa tofali (hii ndio tunaita copping wall). Wakati unaweka hiyo slope yako usisahau kuweka water proof kwenye udongo wako (wengine huwa wanapaka nilu kabisa).

Vipi kuhusu maji kuingia dirishani? Ukijenga contemporary ni vizuri ukaweka window cap (hii huwa tunaioteshea kwenye mkanda) ili kuzuia maji yanayotembea kwenye ukuta kuingia dirishani vinginevyo itakulazimu utoboe vitundu vidogo kwa nje kwenye alumunium case ili maji yasijae kwenye hako kamfereji ambapo vioo vinapita na kuingia ndani ambapo inaharibu show ya dirisha
hapo juu kuna ka mstar ambako nlkuwa nataka nchomeke nondo kwaajil ya kenop ili maji yaingie kweny kenop na kushuka kutumia mabomba ntakayo weka kweny nguzo za kenop,hizo bat nlikuwa nmewaza et zikichomoza ata nch moja zitamwaga maji kwel znanamwaga na haivuji ila shida tu ni ukuta kunyonya maj.
 
hapo juu kuna ka mstar ambako nlkuwa nataka nchomeke nondo kwaajil ya kenop ili maji yaingie kweny kenop na kushuka kutumia mabomba ntakayo weka kweny nguzo za kenop,hizo bat nlikuwa nmewaza et zikichomoza ata nch moja zitamwaga maji kwel znanamwaga na haivuji ila shida tu ni ukuta kunyonya maj.
Kuhusu window cape nna mpango wa kuweka kwasasa ambapo cjatengeneza hyo kenop ili kuzuia maji yashukayo ukutan pia kama urembo,ivo nashukuru pia kwa msaada[emoji120]
 
Wakuu nisiwachoshe, kama picha inavoonyesha hapa, nimejenga mfumo huu wa nyumba.

Nifanye nini kuzuia maji kupenya ukutani na kuolowesha hadi ukuta wa ndani? kama kuna nyenzo naweza kutumia kutatua hili basi naombeni msaada.

View attachment 2451842
Toboa hapo chini ya 4*4 weka canopy ila bati ifike ilipo ishia bati za juu, upige na kofia .
 
Back
Top Bottom