machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Mtu niliyemuamini nikampa nafasi kwenye kazi za kitalii ninayofanya tangu akiwa waiiter mpaka Sasa anataka kunipindua kitengo changu cha u-chief guide ikiwezekana hata kunimaliza kabisa!
Kuniharibia kazi, uchonganishi na mabosi isitoshe Mimi nilimkuta kitaa hana ramani anakunywa banana akaomba kazi nikampa ya kubeba mizigo Kilimanjaro, nikampa kitengo akawa waiter Leo hii najuta kumuonesha dollars.
Sitaki kutaja ni kampuni gani wala wapi!
Kuniharibia kazi, uchonganishi na mabosi isitoshe Mimi nilimkuta kitaa hana ramani anakunywa banana akaomba kazi nikampa ya kubeba mizigo Kilimanjaro, nikampa kitengo akawa waiter Leo hii najuta kumuonesha dollars.
Sitaki kutaja ni kampuni gani wala wapi!