Nifanye nini mtu niliyemsaidia kupata mchongo anataka kunipindua kwenye kitengo changu?

Nifanye nini mtu niliyemsaidia kupata mchongo anataka kunipindua kwenye kitengo changu?

Pole Sana !! Ndio Ujue Rangi Halisi Ya Binadamu. Ni Hatari Sana Pale Inapochanganyika Na Njaa, Tamaa .... By the Way Si Anataka Kukumaliza ? Muwahi !!! Shoot Em !!!!
 
Ongeza volumeee....... tunatoana rohooo yaraabiii kwa mali/ofisi za watuu wenginee

hama ofisi tafta mchongo kwingine
 
Back
Top Bottom