Nifanye nini na huyu mzee jamani?

Kuwa mwangalifu na aina hii ya watu, for your safety mrejeshe kwao mana huwezi kujua nini madhumuni yake ya kuishi kwao.
 
Kwanini usimshauri naye agombee ubunge kama mwenzake Prof Tall Water :nerd::nerd:?
 
na ndio sababu niliwakimbia hawa wandugu ,watu wakigm ndio mwaisho sijui waliambiwa dar kuna maisha mazuri ,nikahamia mbali sana sana na mjini hapa na hakuna daladala sijawaona ng'o watu wanajazana kula tuuu hawana masaada wanatoka huyu anaingia huyu du kazi kweli kweli
 
kitendo cha kusikia tu huyo mzee ni mchawi, nsingepata usingizi tena kwenye nyumba hiyo...
 
Funga safari wewe na mkeo/mumeo na yeye wote nendeni kijijini,
ukifika unaachana naye nyie mnageuza siku hiyo hiyo au kesho alfajiri.
 
Elia pole sana aisee mchawi tena???

ndio hayo my dada... ningekuwa leo naenda kufanyia kazi maushauri niliyopewa kunajamaa yangu nitakuwanae kaniambia nimsaidie viroba kadhaa
 

Hiyo strategy nzuri nivea maana kuna watu wanaongoza kwa kusifia maisha ya wenzao kwamba ni mazuri, kama hujatembelea ndugu wakati ukiwa mwanafunzi ukishafika utu uzima unatakiwa upumzike kwani ni muda wa kutafuta ela. Nauli zinapanda lakini kuna watu kwa kusafiri safari zisizo na tija wanaongoza
 
Last edited by a moderator:
Tatizo hapo silioni,mwambie kwa upole kwamba kipato chako ni kidogo kwa hiyo kwa jinsi maisha ya Bongo yalivyo huna uwezo wa kumhudumia,kwa hiyo una shauri arudi kwa shemeji yako au arudi nyumbani.Akidai nauli mpe.Usikubali kuteseka kwa ajili ya ujinga wa mtu mwingine. Chukua hatua.
 
Mtafutie shamba awe analima lima huko Mkuranga
 
ndio hayo my dada... ningekuwa leo naenda kufanyia kazi maushauri niliyopewa kunajamaa yangu nitakuwanae kaniambia nimsaidie viroba kadhaa

Pole uje utuambie umefanyia maushari ya wana JF yale mapoa mengine kamata tupa kule kama hayakufai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…