Nifanye nini niache umalaya?

Nifanye nini niache umalaya?

Ni kazi sana kuacha tabia ambayo huitaki wakati imekufurahisha kwa muda mrefu.

1.Jizue kwenda mahali ambapo unawapatw wengi. Pita mbali.

2. Kila siku inayopita na hujashawishika ifurahie. Siku utakayoanguka tena, tafuta sababu.
3. Kama unaamini Mungu, jikumbushe maneno yanayokataza.

Kila la heri.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwenu, nilianza kutembea na dada wa kazi nilipokuwa darasa la sita, 2002 niliona raha sana tangu hapo nikawa naenda chumbani kwake kila siku usiku, alikuwa amenizidi sana umri ila alinikosha sana na mpaka leo japo aliolewa ila akija kwangu huwa tunazini nae.

Baada ya kuingia sekondari nilizini na wanawake zaidi ya 10 o level na wanawake zaidi ya 20 advance. Nilivyoenda chuo ndo sijui hata idadi na nilikuwa mpole sana na msikivu kwa wadada hivyo nilikuwa silent killer kwao maana nilitembea na marafiki zao pia.

Baada ya kuajiriwa na kuanza maisha ya kujitegemea jijini Tanga nimezini na wanawake wengi mno si wanafunzi, si wafanya kazi na wenye mvuto, kwasasa nimehamia karagwe huku nako nazini sana.

Ni nini nifanye ili niache? Nikiona mdada mweusi mwenye kimini kilicho tait(vile vya kuvutika) macho hunitoka huku wapo wengi sana sijui nifanye nini niache.
Samahan mkuu, hivi nawe viungo vyako vya uzazi unaviita sehem zako za siri au??[emoji57] [emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwenu, nilianza kutembea na dada wa kazi nilipokuwa darasa la sita, 2002 niliona raha sana tangu hapo nikawa naenda chumbani kwake kila siku usiku, alikuwa amenizidi sana umri ila alinikosha sana na mpaka leo japo aliolewa ila akija kwangu huwa tunazini nae.

Baada ya kuingia sekondari nilizini na wanawake zaidi ya 10 o level na wanawake zaidi ya 20 advance. Nilivyoenda chuo ndo sijui hata idadi na nilikuwa mpole sana na msikivu kwa wadada hivyo nilikuwa silent killer kwao maana nilitembea na marafiki zao pia.

Baada ya kuajiriwa na kuanza maisha ya kujitegemea jijini Tanga nimezini na wanawake wengi mno si wanafunzi, si wafanya kazi na wenye mvuto, kwasasa nimehamia karagwe huku nako nazini sana.

Ni nini nifanye ili niache? Nikiona mdada mweusi mwenye kimini kilicho tait(vile vya kuvutika) macho hunitoka huku wapo wengi sana sijui nifanye nini niache.
Dah Mkuu pole sana. Nami nilikua nina tabia hiyo lakini nashukuru Mungu alinisaidia nikaachana nayo. Kwanza jaribu kujihusisha na vitu ambavyo vitakufanya uwe busy, kama vile michezo na gym. Lakin pia epuka vijiwe au maeneo ya vilevi kama baa nk. Lakini kubwa muombe Mungu, jisomee neno la Mungu. Ukiwa serious si tu utaacha uzinzi bali utachukia kuzini.

Barikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tubu na mrudie Mungu wako hilo ni pepo la umalaya

Mtu asiye kwenye ndoa afanya umalaya, mwenye ndoa afanya uzinzi, mrudie Mungu wako
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwenu, nilianza kutembea na dada wa kazi nilipokuwa darasa la sita, 2002 niliona raha sana tangu hapo nikawa naenda chumbani kwake kila siku usiku, alikuwa amenizidi sana umri ila alinikosha sana na mpaka leo japo aliolewa ila akija kwangu huwa tunazini nae.

Baada ya kuingia sekondari nilizini na wanawake zaidi ya 10 o level na wanawake zaidi ya 20 advance. Nilivyoenda chuo ndo sijui hata idadi na nilikuwa mpole sana na msikivu kwa wadada hivyo nilikuwa silent killer kwao maana nilitembea na marafiki zao pia.

Baada ya kuajiriwa na kuanza maisha ya kujitegemea jijini Tanga nimezini na wanawake wengi mno si wanafunzi, si wafanya kazi na wenye mvuto, kwasasa nimehamia karagwe huku nako nazini sana.

Ni nini nifanye ili niache? Nikiona mdada mweusi mwenye kimini kilicho tait(vile vya kuvutika) macho hunitoka huku wapo wengi sana sijui nifanye nini niache.
Fanya juu chini ufumaniwe kwa mke wa mwanajeshi, au mpatie mimba mtoto wa shule....! Huenda ikawa mwisho wa kuzini kwako.
 
Salamu kwenu, nilianza kutembea na dada wa kazi nilipokuwa darasa la sita, 2002 niliona raha sana tangu hapo nikawa naenda chumbani kwake kila siku usiku, alikuwa amenizidi sana umri ila alinikosha sana na mpaka leo japo aliolewa ila akija kwangu huwa tunazini nae.

Baada ya kuingia sekondari nilizini na wanawake zaidi ya 10 o level na wanawake zaidi ya 20 advance. Nilivyoenda chuo ndo sijui hata idadi na nilikuwa mpole sana na msikivu kwa wadada hivyo nilikuwa silent killer kwao maana nilitembea na marafiki zao pia.

Baada ya kuajiriwa na kuanza maisha ya kujitegemea jijini Tanga nimezini na wanawake wengi mno si wanafunzi, si wafanya kazi na wenye mvuto, kwasasa nimehamia karagwe huku nako nazini sana.

Ni nini nifanye ili niache? Nikiona mdada mweusi mwenye kimini kilicho tait(vile vya kuvutika) macho hunitoka huku wapo wengi sana sijui nifanye nini niache.
Habari za kayanga murushaka na kaisho? Au upo karagwe ipi? Anyway ukitaka kuacha okoka Yesu anakupenda atakubadilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu jikabidhi nafsi na roho yako kwa mungu ndo utaweza kuzishinda tamaa za mwili ila hivi hivi ni ishu maana wakina monica siku izi wamejipanga vizuri #wapo kazini yani wamekamilika kila idara kuanzia marketing & sales etc
 
Kumcha Mungu na kutii amri zake ndio haswaa suluhisho..

Lakini, Tabia uliyonayo ina akisi tabia za wanaume wengi sana wa Kitanzania,.
Ila Tumetofautiana kwenye ujasiri , vipato, uhuru, genye na vipaumbele vya starehe..

Mm nakushaur usifanye ngono kama kipaumbele chako pekee kwenye starehe..

Tafuta hobbies nyingne, kuwa busy, ignore some women, maana huwez lala nao wote, na hawaishi, Mungu akikupa uzima utatembeza Pumbu had ukiwa na miaka 70. So why those hurry?.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwenu, nilianza kutembea na dada wa kazi nilipokuwa darasa la sita, 2002 niliona raha sana tangu hapo nikawa naenda chumbani kwake kila siku usiku, alikuwa amenizidi sana umri ila alinikosha sana na mpaka leo japo aliolewa ila akija kwangu huwa tunazini nae.

Baada ya kuingia sekondari nilizini na wanawake zaidi ya 10 o level na wanawake zaidi ya 20 advance. Nilivyoenda chuo ndo sijui hata idadi na nilikuwa mpole sana na msikivu kwa wadada hivyo nilikuwa silent killer kwao maana nilitembea na marafiki zao pia.

Baada ya kuajiriwa na kuanza maisha ya kujitegemea jijini Tanga nimezini na wanawake wengi mno si wanafunzi, si wafanya kazi na wenye mvuto, kwasasa nimehamia karagwe huku nako nazini sana.

Ni nini nifanye ili niache? Nikiona mdada mweusi mwenye kimini kilicho tait(vile vya kuvutika) macho hunitoka huku wapo wengi sana sijui nifanye nini niache.
Hapo ndipo utakapojua kuwa zinaa haina maana,pamoja na wanawake wote hao uliotembea nao,lakini bado hujatosheka na unaendelea kuifanya,umeshawahi kujiuliza ni nini hasa unachokitafuta?au katika wote hao uliotembea nao ni yupi alikuwa ni bora kuliko hao wote labda angefaa kuolewa na wewe?na kama ndio alikuwa bora kwanini hukumuoa?hautaacha mpaka uamue kuacha,ni dhambi pia ni hatari kwa uhai wako,kimwili na kiroho...
 
Back
Top Bottom