mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Dah ujue kujiajili niraha sana Ndugu yangu vutia picha ulipofanya biashara ya CD na viatu ndani yamiez 6 uliweza kukuza mtaji vzr japo kuwa ulikuwa unafungua sa12 mpaka sa5 je endapo ingekuwa unaanzia asubuh nadhani ungekuwa vzr, ushaur wangu kwanza kabisa usijidharau nakujiona kuwa si lolote si chochote mbele yabosi wako ila jipe thamani wewe mwenyewe najiamini, mimi nachoamini dunian tunakula ili tuishi ila atuishi ili tule so chakufanya angalia hiyo kazi yako je mshahara unaoupata unaishia2 kula au unakuwezesha nakufanya mambo mengine au kuweka akiba! Jibu kama niapana basi anza kufikiria kuachana na hiyo kazi maana hiyo kazi itakuwa haina future yambele juu yakoMwanza mkuu
Asante kwa ushauri mzuri mkuu nitajitaidi kufanyia kaziKwanza kabisa Anza kusave Pesa ya kodi Mfn kwa mwez 20000 au ikapungua chini ya hapo itakuwa vyema kwa kuanza sio mbaya. Ukipata kodi ya miezi sita Tafuta chumba.
Endelea kukaa kwa Bosi wako usiondoke, Huku unachumba chako Anza kusave Pesa za godoro kwanza .
Ukishapata godoro lako
Anza kusave Pesa ya biashara kidogo kidogo unayoweza kufanya mpk mtaji ukapofikia level unayohtaji kumbuka hapo kuna kodi inakusubir kila Baada ya miez kadhaa unatakiwa uwe na nidhamu ya Pesa ya Hali ya juu.
Mwisho ukubali kufanya maamuzi magumu ya kuacha kazi hapo Ili biashara utakayoanzisha upate kuiendesha kwa ukaribu
Ukitoka kwa Bosi wako hapo tayar unachumba chako na Pesa ya mtaji wako wa biashara
Nimejaribu kukushaur nakutaia mihangaiko mema
Kilimo isiwe sehem ya wewe kukimbilia baada ya KUKATA TAMAA kifanye kilimo kama mpango kipaombele baada ya mengine kuwa magum amini kuwa kilimo ni kizuri sana ukiandaa vyema mawazo ya utekelezaji pesa isiwe kikwazo kiasi hicho na muhim zaidi umesema unayo ardhi aisee usipoteze mda kaandae maisha mkuu
Kwa kweli hii kazi siyo ya mafanikio ni pesa ya kula na kujikimu matatizo madogo tu na kuisha kujiajiri ni jambo zuri ila sasa siwezi kutoka kwa boss wangu sina chumba sina mchogo niende tu nitapotea kabisaDah ujue kujiajili niraha sana Ndugu yangu vutia picha ulipofanya biashara ya CD na viatu ndani yamiez 6 uliweza kukuza mtaji vzr japo kuwa ulikuwa unafungua sa12 mpaka sa5 je endapo ingekuwa unaanzia asubuh nadhani ungekuwa vzr, ushaur wangu kwanza kabisa usijidharau nakujiona kuwa si lolote si chochote mbele yabosi wako ila jipe thamani wewe mwenyewe najiamini, mimi nachoamini dunian tunakula ili tuishi ila atuishi ili tule so chakufanya angalia hiyo kazi yako je mshahara unaoupata unaishia2 kula au unakuwezesha nakufanya mambo mengine au kuweka akiba! Jibu kama niapana basi anza kufikiria kuachana na hiyo kazi maana hiyo kazi itakuwa haina future yambele juu yako
Njoo tuyajengeKwanza kabisa Anza kusave Pesa ya kodi Mfn kwa mwez 20000 au ikapungua chini ya hapo itakuwa vyema kwa kuanza sio mbaya. Ukipata kodi ya miezi sita Tafuta chumba.
Endelea kukaa kwa Bosi wako usiondoke, Huku unachumba chako Anza kusave Pesa za godoro kwanza .
Ukishapata godoro lako
Anza kusave Pesa ya biashara kidogo kidogo unayoweza kufanya mpk mtaji ukapofikia level unayohtaji kumbuka hapo kuna kodi inakusubir kila Baada ya miez kadhaa unatakiwa uwe na nidhamu ya Pesa ya Hali ya juu.
Mwisho ukubali kufanya maamuzi magumu ya kuacha kazi hapo Ili biashara utakayoanzisha upate kuiendesha kwa ukaribu
Ukitoka kwa Bosi wako hapo tayar unachumba chako na Pesa ya mtaji wako wa biashara
Nimejaribu kukushaur nakutaia mihangaiko mema
Upo sawa ila vipi wazo labiashara unalo nataarifa kamili yabiashara unayoitaka kufanya unayo?Kwa kweli hii kazi siyo ya mafanikio ni pesa ya kula na kujikimu matatizo madogo tu na kuisha kujiajiri ni jambo zuri ila sasa siwezi kutoka kwa boss wangu sina chumba sina mchogo niende tu nitapotea kabisa
Ni nayo mawazo mengi sana ya biashara na jinsi kukuza mtaji ila tatizo pesa mkuu kwa mfano unaweza kufanya biashara yeyote kwa siku ukiwa una uhakika wa kupata faida ya 15 kwaiyo faida unaweza kufanya mambo makubwa sana paka watu wakashangaa mawazo ninayo ila sina rasimali pesa ili niweze kufanya kazi ayo mawazoUpo sawa ila vipi wazo labiashara unalo nataarifa kamili yabiashara unayoitaka kufanya unayo?
Ni idea gan ulizonazo mkuu, pengine twaweza kuungana coz na mm ni fighterNi nayo mawazo mengi sana ya biashara na jinsi kukuza mtaji ila tatizo pesa mkuu kwa mfano unaweza kufanya biashara yeyote kwa siku ukiwa una uhakika wa kupata faida ya 15 kwaiyo faida unaweza kufanya mambo makubwa sana paka watu wakashangaa mawazo ninayo ila sina rasimali pesa ili niweze kufanya kazi ayo mawazo
Mkuu idea ni nyingi mkuu ukiingia tu jukwaa la ujasirimali na biashara kuna idea nyingi sana jinsi ya kutoka ila uwe na pesa mkuu mm hapa naomba ushauri kwasababu nimekosa pesaNi idea gan ulizonazo mkuu, pengine twaweza kuungana coz na mm ni fighter
Nawezaje kujiunga na hilo jukwaa mkuuMkuu idea ni nyingi mkuu ukiingia tu jukwaa la ujasirimali na biashara kuna idea nyingi sana jinsi ya kutoka ila uwe na pesa mkuu mm hapa naomba ushauri kwasababu nimekosa pesa