Nifanye nini wasichana waache kunitania?

Nifanye nini wasichana waache kunitania?

Mkulungwa01

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
3,977
Reaction score
5,339
Copied;

Hivi jamani, nifanyeje ili niogopwe na wasichana? Yaani wawe na hata ile hofu wanaponiona, nipo chuo mwaka wa 2. Inafika kipindi nataniwa hovyo hovyo hata kama sitaki.

Pia naitwa majina ya hovyo, natamani kuwa kauzu kama baadhi ya wanaume wenzangu, inafika wakati msichana ananiita "wewe boya njoo", naumia sana. Kwa nini mimi? Mbona wengine wanaheshimika? Au kisa ni makauzu?

Nipo nasoma Aircraft Engineering degree. Karibuni kwa ushauri!
 
Mkuu yaan pamoja na elim yako ,Demu yaan hadi dem anakuita "Wewe boya"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].


Mkuu weee ni dume kweli rijali???
 
Aisee!. Yani uue mtu kisa kuitwa boya tu. Mbona kama ni inshu ndogo tu hiyo.

Nakushauri huyo demu aliyekuita boya, wewe andaa tu mkakati ili uje umpate na umpelekee moto kwelikweli hadi ajute kukuita boya.
Labda ametokea kuchunga ng'ombe, hawajuagi utani
 
Don't be ashamed of what you're Bastard 😅😅
1626863481406.png
 
Hivi jamani, nifanyeje ili niogopwe na wasichana? Yaani wawe na hata ile hofu wanaponiona, nipo chuo mwaka wa 2. Inafika kipindi nataniwa hovyo hovyo hata kama sitaki.

Pia naitwa majina ya hovyo, natamani kuwa kauzu kama baadhi ya wanaume wenzangu, inafika wakati msichana ananiita "wewe boya njoo", naumia sana. Kwa nini mimi? Mbona wengine wanaheshimika? Au kisa ni makauzu?

Nipo nasoma Aircraft Engineering degree. Karibuni kwa ushauri!
Ulivyojiwasilisha kwao ndivyo wanavyokuchukulia...umeyataka mwenyewe
 
Hayo ma aircraft engine unayosomea si unapata access ya petroli ? Nunua dumu mtie kibiriti mmoja ya hao wanaokudharau, kwisha kazi yake watakuheshimu....au nunua bunduki kunywa bia nyingi halafu uwe unawatishia kama unataka kuwaua !
 
Hivi jamani, nifanyeje ili niogopwe na wasichana? Yaani wawe na hata ile hofu wanaponiona, nipo chuo mwaka wa 2. Inafika kipindi nataniwa hovyo hovyo hata kama sitaki.

Pia naitwa majina ya hovyo, natamani kuwa kauzu kama baadhi ya wanaume wenzangu, inafika wakati msichana ananiita "wewe boya njoo", naumia sana. Kwa nini mimi? Mbona wengine wanaheshimika? Au kisa ni makauzu?

Nipo nasoma Aircraft Engineering degree. Karibuni kwa ushauri!
Tulia ww Boya
 
Hivi jamani, nifanyeje ili niogopwe na wasichana? Yaani wawe na hata ile hofu wanaponiona, nipo chuo mwaka wa 2. Inafika kipindi nataniwa hovyo hovyo hata kama sitaki.

Pia naitwa majina ya hovyo, natamani kuwa kauzu kama baadhi ya wanaume wenzangu, inafika wakati msichana ananiita "wewe boya njoo", naumia sana. Kwa nini mimi? Mbona wengine wanaheshimika? Au kisa ni makauzu?

Nipo nasoma Aircraft Engineering degree. Karibuni kwa ushauri!
Hivi ni chuo gani kingine kinatoa Aircraft Engineering degree zaidi ya NIT
 
Back
Top Bottom