Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio tusi hiloNisaidie mkuu, natukanwa mimi mfu kweli 😒
Ahsante kaka, napo ni mpaka uwe na roho ngumu, yaani uishi 'kikaksi'.Usicheke na mtu kata mazoea alafu mtu akijichanganya mfanye kama mwanafyale umeyakanyaga
Try kush bro, utanishukuruHivi jamani, nifanyeje ili niogopwe na wasichana? Yaani wawe na hata ile hofu wanaponiona, nipo chuo mwaka wa 2. Inafika kipindi nataniwa hovyo hovyo hata kama sitaki.
Pia naitwa majina ya hovyo, natamani kuwa kauzu kama baadhi ya wanaume wenzangu, inafika wakati msichana ananiita "wewe boya njoo", naumia sana. Kwa nini mimi? Mbona wengine wanaheshimika? Au kisa ni makauzu?
Nipo nasoma Aircraft Engineering degree. Karibuni kwa ushauri!
Dah[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama ni boya kweli ,unataka wakuite mtumbwi mkuu?[emoji23]