Nifanye nn na hili wapendwa?

Nifanye nn na hili wapendwa?

Sweetlol

Senior Member
Joined
May 9, 2011
Posts
102
Reaction score
24
jaman ndo inatokea kila mtu au ni mm tu.?tangu tumeachana na aliekua mpenz wangu nikikaa nikiona kitu kizur na mkumbuka i wish to buy for him,nikilala naota we ar together nikisoma stories nnampa uhusika,nikiangalia muvi ndo shida kabisa.nau nimechoka na muwaza mtu ambaye haniwazi.what can i do people.
najaribu nisahau nnaenda mazoezi sana nau dayz najaribu kujikip buzy kupita kias but nil.nn cha ziada wapendwa?
 
KUBALI...ACCEPT....ACCEPTERA...ACEPTAR kwamba sio wako tena!
 
jaman ndo inatokea kila mtu au ni mm tu.?tangu tumeachana na aliekua mpenz wangu nikikaa nikiona kitu kizur na mkumbuka i wish to buy for him,nikilala naota we ar together nikisoma stories nnampa uhusika,nikiangalia muvi ndo shida kabisa.nau nimechoka na muwaza mtu ambaye haniwazi.what can i do people.
najaribu nisahau nnaenda mazoezi sana nau dayz najaribu kujikip buzy kupita kias but nil.nn cha ziada wapendwa?
Mliachana wakati bado unampenda. Listen to your heart before you say goodby.
 
We anza kujpendekeza kwa msela tena,atakurudia 2.
 
we nae khaaa!
Evryday unashauriwa kuhusu huyo mpenz wako!
Kama vp mrudie . Sredi zako kila siku zinafanana! Sorry badilisha muziki.
 
sawa sweetlady sorry kwa kukukwanza.nntabadilisha ila hili ndo linanisibu kwa sasa..
 
jaman ndo inatokea kila mtu au ni mm tu.?tangu tumeachana na aliekua mpenz wangu nikikaa nikiona kitu kizur na mkumbuka i wish to buy for him,nikilala naota we ar together nikisoma stories nnampa uhusika,nikiangalia muvi ndo shida kabisa.nau nimechoka na muwaza mtu ambaye haniwazi.what can i do people.
najaribu nisahau nnaenda mazoezi sana nau dayz najaribu kujikip buzy kupita kias but nil.nn cha ziada wapendwa?
mhh ndo maana mie kabla sijaachana na mwanaume natafuta wa kumrithi....mateso gani haya sasa!
 
Sijambo mpendwa, Kampuni yangu ya uwakili inafilisika mbona siku hizi hunipi kesi?
Hahaha lolzDamahani kwa kusikia wapotezabusiness .. mie nliachwa kwenye Traffic lights bila kujua kosa...Kwasababu sikujua sababuNikaona haina haja ya kufungua Kesi bali kusonga mbele na maisha ..lolz
 
we nae khaaa!
Evryday unashauriwa kuhusu huyo mpenz wako!
Kama vp mrudie . Sredi zako kila siku zinafanana! Sorry badilisha muziki.


taratibu mama, sweet mwenzio huyo lol....
 
jaman ndo inatokea kila mtu au ni mm tu.?tangu tumeachana na aliekua mpenz wangu nikikaa nikiona kitu kizur na mkumbuka i wish to buy for him,nikilala naota we ar together nikisoma stories nnampa uhusika,nikiangalia muvi ndo shida kabisa.nau nimechoka na muwaza mtu ambaye haniwazi.what can i do people.
najaribu nisahau nnaenda mazoezi sana nau dayz najaribu kujikip buzy kupita kias but nil.nn cha ziada wapendwa?
Tafuta replacement asap..
 
kubali hali halisi, pia acha kufanya mambo ambayo mlikua mwafanya pamoja. Hang out with yr girls ili kuondoa upweke ambao utapelekea kumwuwaza!
 
Back
Top Bottom