Nifanye shughuli gani ili nipate 10,000-15,000 kwa siku?

Ungesema pia unamtaji kiasi gani au kama huna pia ungesema ili wanadar wenzako wakajua wanaanzia wapi kukupa njia zakupita
 
Natumai mu wazima wote,

Kama kichwa kinavyojieleza, Shughuli yoyote ambayo inaweza kunipatia 10,000 hadi 15,000 kwa siku.

Location: Dar es Salaam
Gender: Male
Mtaji:150,000

Mr Confidential

Karibuni.
Hiyo ni kama $ 65. deposit FX, tembelea usizid lot ya 3000 per transaction, yaani tembelea mwisho 0.03. Leverage ya 1:1000.ili margin iwe about 3 hivi. per transaction. Target pips 40 per day. use stop loss, or counter pending order za kuhedge and watch ur trades it very careful.
 
😳😳😳
 
Hahaha ulivoandika kitaalamu[emoji23][emoji23]

Ngoja tuone
 
Poa mi nataka kudePosit 170$ kwenye accont yangu....hope things will be good 💪💪💪
 
Nakazia
 
Aliye elewa msaada
 
10k haiji kwa kuwaza,ila itazidi kama utafanya shughuli nyingi tofauti tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…