Billionaire mind
Member
- Oct 23, 2019
- 97
- 134
Never starting any business kwa kuweka profit target especially kwa Mtaji Kama wako, Wewe angalia Ni biashara gani Itakuwa na low risk kwako mf bidhaa zisizoharibika kwa kukosa wateja..Alafu wekeza focus kwenye kuuza yaani jifunze mbinu zote za kuuza Achana kabisa na issue za target profit..Tatizo la target profit for starting business Ni pale unapokosa iyo faida utaanza kupoteza focus..First of all Wewe ingia kwenye game...Natumai mu wazima wote,
Kama kichwa kinavyojieleza, Shughuli yoyote ambayo inaweza kunipatia 10,000 hadi 15,000 kwa siku.
Location: Dar es Salaam
Gender: Male
Mtaji:150,000
Mr Confidential
Karibuni.