INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,343
ila ushenzi mwingine bhna .yaani wanyama bado ni adimu baada ya kuwaacha wazaliane waongezeke bado kuna mijitu inaipa madawa ya uzazi....huu ni kutumia akili upside downUganda walimpa Sokwe dawa za uzazi wa mpango na bado washenzi wakamjaza.