The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,255
usingizi au viroba? nani anazungumzia hasara hapa?
wanajf naomba mesaada wenu. Ninatatizo la kuwa na hasira kupita kiasi hata kwa jambo dogo tu!
usingizi au viroba? nani anazungumzia hasara hapa?
Huna hela ndio maana unakuwa na masimba mda wote,tafuta hela kwa nguvu zote ukipata utakuwa unafanya mambo unayopenda hivyo utapata pc of mind.
wanajf naomba mesaada wenu. Ninatatizo la kuwa na hasira kupita kiasi hata kwa jambo dogo tu!
wanajf naomba mesaada wenu. Ninatatizo la kuwa na hasira kupita kiasi hata kwa jambo dogo tu!
Hata mimi nina tatizo kama hili yaani nina hasira za ghafla, lakini nimeplan nikijenga kajumba kangu nitaweka chumba maalumu kwaajili ya kukaa nikikasirika tena kutakuwa na kiti peke yake.
Unamuhitaji Mungu mwenyewe akubadilishe kupitia Yesu Kristo. Tafuta msaada wa kiroho hutajuta.
wanajf naomba mesaada wenu. Ninatatizo la kuwa na hasira kupita kiasi hata kwa jambo dogo tu!