Nifanyeje ili marafiki zangu wa kike wasiangukie mapenzini na mimi

Nifanyeje ili marafiki zangu wa kike wasiangukie mapenzini na mimi

Lumbi9

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2014
Posts
8,666
Reaction score
12,178
Kiajabu kabisa hili suala linanishangaza, hawa ni marafiki zangu wanajua nina mke pia michepuko, ajabu yake na wao pia huangukia kwenye mlengo huohuo baada ya muda flani, inanitatiza kwakuwa nilishawahi kujaribu kwa wadada wawili kwa vipindi tofauti lakini mwisho wake tulipoteza mapenzi na urafiki pia ambao ulikuwepo kwa muda mrefu.

Ajabu pia hata wale ambao niliamua kukataa mahusiano ya kimapenzi nao ili tuendelee na urafiki kawaida, wenyewe nao walianza kujipunguza taratibu hatimae urafiki ukafa kabisa, nafikiri walijisikia vibaya kwa Mimi kwenda nao against.

Currently, kuna mtu nae namuona anakuja na mlengo huuhuu najua tu mwisho wake hautakuwa mzuri, probably urafiki utakufa tu siku za usoni.

Msaada wakuu ili hawa watu tuendelee kuwa marafiki tu hisia za mapenzi zisijitokeze niishi nao vipi.
 
Kiajabu kabisa hili suala linanishangaza, hawa ni marafiki zangu wanajua nina mke pia michepuko, ajabu yake na wao pia huangukia kwenye mlengo huohuo baada ya muda flani, inanitatiza kwakuwa nilishawahi kujaribu kwa wadada wawili kwa vipindi tofauti lakini mwisho wake tulipoteza mapenzi na urafiki pia ambao ulikuwepo kwa muda mrefu.

Ajabu pia hata wale ambao niliamua kukataa mahusiano ya kimapenzi nao ili tuendelee na urafiki kawaida, wenyewe nao walianza kujipunguza taratibu hatimae urafiki ukafa kabisa, nafikiri walijisikia vibaya kwa Mimi kwenda nao against.

Currently, kuna mtu nae namuona anakuja na mlengo huuhuu najua tu mwisho wake hautakuwa mzuri, probably urafiki utakufa tu siku za usoni.

Msaada wakuu ili hawa watu tuendelee kuwa marafiki tu hisia za mapenzi zisijitokeze niishi nao vipi.
Samahani, unafanya kazi gani?
 
Acha mazoea nao. Kama huwezi WALA wakatae mapema
Aisee watu mnachukulia sex serious sana, hv unajua ukijaliwa kuishi miaka 60 hapa duniani kimahesabu utakuwa umetumia miaka mingapi kusex, haizidi minne, hiyo miaka mingine yote tunatumia kusocialize na wenzetu, sex sio kila kitu kama unavodhani
 
Kiajabu kabisa hili suala linanishangaza, hawa ni marafiki zangu wanajua nina mke pia michepuko, ajabu yake na wao pia huangukia kwenye mlengo huohuo baada ya muda flani, inanitatiza kwakuwa nilishawahi kujaribu kwa wadada wawili kwa vipindi tofauti lakini mwisho wake tulipoteza mapenzi na urafiki pia ambao ulikuwepo kwa muda mrefu.

Ajabu pia hata wale ambao niliamua kukataa mahusiano ya kimapenzi nao ili tuendelee na urafiki kawaida, wenyewe nao walianza kujipunguza taratibu hatimae urafiki ukafa kabisa, nafikiri walijisikia vibaya kwa Mimi kwenda nao against.

Currently, kuna mtu nae namuona anakuja na mlengo huuhuu najua tu mwisho wake hautakuwa mzuri, probably urafiki utakufa tu siku za usoni.

Msaada wakuu ili hawa watu tuendelee kuwa marafiki tu hisia za mapenzi zisijitokeze niishi nao vipi.
Njoo kwangu mi nitakuwa rafiki tu
 
nyie ndo fb inst tiktok mmejaza mafrnd wa kike na kukesha kutyp imoj 👌💋😋😜😍 halafu unatuambia una mke na familia si ajabu we ndo mke hujijui....





hakunaga urafiki wa jinsia tofauti zaidi ya mapenzi otherwise labda km we ni typ za kina delicious.
 
Back
Top Bottom