Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante dada, barikiwa.nyie ndo fb inst tiktok mmejaza mafrnd wa kike na kukesha kutyp imoj 👌💋😋😜😍 halafu unatuambia una mke na familia si ajabu we ndo mke hujijui....
hakunaga urafiki wa jinsia tofauti zaidi ya mapenzi otherwise labda km we ni typ za kina delicious.
huyu braza atakuwa ni mhudumu wa bar.Samahani, unafanya kazi gani?
Ngoja nikuitie mwalimu wa hayo makituKiajabu kabisa hili suala linanishangaza, hawa ni marafiki zangu wanajua nina mke pia michepuko, ajabu yake na wao pia huangukia kwenye mlengo huohuo baada ya muda flani, inanitatiza kwakuwa nilishawahi kujaribu kwa wadada wawili kwa vipindi tofauti lakini mwisho wake tulipoteza mapenzi na urafiki pia ambao ulikuwepo kwa muda mrefu.
Ajabu pia hata wale ambao niliamua kukataa mahusiano ya kimapenzi nao ili tuendelee na urafiki kawaida, wenyewe nao walianza kujipunguza taratibu hatimae urafiki ukafa kabisa, nafikiri walijisikia vibaya kwa Mimi kwenda nao against.
Currently, kuna mtu nae namuona anakuja na mlengo huuhuu najua tu mwisho wake hautakuwa mzuri, probably urafiki utakufa tu siku za usoni.
Msaada wakuu ili hawa watu tuendelee kuwa marafiki tu hisia za mapenzi zisijitokeze niishi nao vipi.
Ukiwa kama mwanaume sex ni jambo la kujivuniaInaonekana unachukulia sex kama jambo LA kujivunia
Huyo mwanamke ulomuoa ndo alikutoa bikra?!Kiajabu kabisa hili suala linanishangaza, hawa ni marafiki zangu wanajua nina mke pia michepuko, ajabu yake na wao pia huangukia kwenye mlengo huohuo baada ya muda flani, inanitatiza kwakuwa nilishawahi kujaribu kwa wadada wawili kwa vipindi tofauti lakini mwisho wake tulipoteza mapenzi na urafiki pia ambao ulikuwepo kwa muda mrefu.
Ajabu pia hata wale ambao niliamua kukataa mahusiano ya kimapenzi nao ili tuendelee na urafiki kawaida, wenyewe nao walianza kujipunguza taratibu hatimae urafiki ukafa kabisa, nafikiri walijisikia vibaya kwa Mimi kwenda nao against.
Currently, kuna mtu nae namuona anakuja na mlengo huuhuu najua tu mwisho wake hautakuwa mzuri, probably urafiki utakufa tu siku za usoni.
Msaada wakuu ili hawa watu tuendelee kuwa marafiki tu hisia za mapenzi zisijitokeze niishi nao vipi.
MMkuu Lila mtu ana hobbies zake we la hupendi s*x ni were mkuuwenzio wanapenda yaani simply hatufanani so kila mtu aishi kwa mtazamo wakeAisee watu mnachukulia sex serious sana, hv unajua ukijaliwa kuishi miaka 60 hapa duniani kimahesabu utakuwa umetumia miaka mingapi kusex, haizidi minne, hiyo miaka mingine yote tunatumia kusocialize na wenzetu, sex sio kila kitu kama unavodhani
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Urafiki na wanawake huwa mnaongea na kujadili nini mkuu?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app