Nifanyeje ili marafiki zangu wa kike wasiangukie mapenzini na mimi

Nifanyeje ili marafiki zangu wa kike wasiangukie mapenzini na mimi

nyie ndo fb inst tiktok mmejaza mafrnd wa kike na kukesha kutyp imoj 👌💋😋😜😍 halafu unatuambia una mke na familia si ajabu we ndo mke hujijui....





hakunaga urafiki wa jinsia tofauti zaidi ya mapenzi otherwise labda km we ni typ za kina delicious.
Asante dada, barikiwa.
 
Kiajabu kabisa hili suala linanishangaza, hawa ni marafiki zangu wanajua nina mke pia michepuko, ajabu yake na wao pia huangukia kwenye mlengo huohuo baada ya muda flani, inanitatiza kwakuwa nilishawahi kujaribu kwa wadada wawili kwa vipindi tofauti lakini mwisho wake tulipoteza mapenzi na urafiki pia ambao ulikuwepo kwa muda mrefu.

Ajabu pia hata wale ambao niliamua kukataa mahusiano ya kimapenzi nao ili tuendelee na urafiki kawaida, wenyewe nao walianza kujipunguza taratibu hatimae urafiki ukafa kabisa, nafikiri walijisikia vibaya kwa Mimi kwenda nao against.

Currently, kuna mtu nae namuona anakuja na mlengo huuhuu najua tu mwisho wake hautakuwa mzuri, probably urafiki utakufa tu siku za usoni.

Msaada wakuu ili hawa watu tuendelee kuwa marafiki tu hisia za mapenzi zisijitokeze niishi nao vipi.
Ngoja nikuitie mwalimu wa hayo makitu
Carleen pita huku kamanda
 
Usipowala watakudharau kwa kukuzushia; kibamia, hana nguvu za kiume, una tabia za kike n.k ; unatakiwa uwapelekee moto, kama huwezi achana na huo ukaribu; hakuna urafiki wakawaida kati ya me/ke
 
Changamkia mbuchuchu,hakuna shida yeyote kata mauno mwamba,kwenye mti hakuna wajenzi
 
Hakuna urafiki kati ya Mwanaume na Mwanamke, Aisee vidume wanapotea kwa kasi ya ajabu.
 
Kiajabu kabisa hili suala linanishangaza, hawa ni marafiki zangu wanajua nina mke pia michepuko, ajabu yake na wao pia huangukia kwenye mlengo huohuo baada ya muda flani, inanitatiza kwakuwa nilishawahi kujaribu kwa wadada wawili kwa vipindi tofauti lakini mwisho wake tulipoteza mapenzi na urafiki pia ambao ulikuwepo kwa muda mrefu.

Ajabu pia hata wale ambao niliamua kukataa mahusiano ya kimapenzi nao ili tuendelee na urafiki kawaida, wenyewe nao walianza kujipunguza taratibu hatimae urafiki ukafa kabisa, nafikiri walijisikia vibaya kwa Mimi kwenda nao against.

Currently, kuna mtu nae namuona anakuja na mlengo huuhuu najua tu mwisho wake hautakuwa mzuri, probably urafiki utakufa tu siku za usoni.

Msaada wakuu ili hawa watu tuendelee kuwa marafiki tu hisia za mapenzi zisijitokeze niishi nao vipi.
Huyo mwanamke ulomuoa ndo alikutoa bikra?!
 
Aisee watu mnachukulia sex serious sana, hv unajua ukijaliwa kuishi miaka 60 hapa duniani kimahesabu utakuwa umetumia miaka mingapi kusex, haizidi minne, hiyo miaka mingine yote tunatumia kusocialize na wenzetu, sex sio kila kitu kama unavodhani
MMkuu Lila mtu ana hobbies zake we la hupendi s*x ni were mkuuwenzio wanapenda yaani simply hatufanani so kila mtu aishi kwa mtazamo wake
 
Ngoja ije ile team iliyosema "tigo ni tunu" wakutukane mana wanaona kwenye miti hakuna wajenzi🤣🤣🤣🤣🤣
 
I never ate a friend, classmate and workmate.

Nimeshindwaga hii kitu
 
Back
Top Bottom