Nifanyeje ili mke wangu asigundue kuwa sikufanya mapenzi hivi karibuni?

Nifanyeje ili mke wangu asigundue kuwa sikufanya mapenzi hivi karibuni?

Hilo swali naye amewauliza wadada wengine huko alipo ili asaidiwe usijue ila Mapenzi we unajiona mjanja kumbe mwenzio nae mjanja
 
Miguno na makelele katoe wewe

Atajua ulimiss utamu ni muda mrefu hujapata.
 
Iko hivi mimi nina mke wangu, sasa anarudi kati ya siku hizi mbili toka huko Uarabuni, alikuwa anafanya kazi.

Sasa kilichonileta ni kwamba yeye anakuja na tumekuwa hatujaonana kwa miaka miwili.

Sasa sasa mm nilimdanganya miaka yote sijafanya mapenzi na mwanamke yoyote kitu ambacho si kweli, hata jana nimebanjuka na manzi.

So nimepita na wengi sasa akifika nifanyaje ili ajue ndani ya hiyo miaka 2 sijabanjuka.

Naombeni msaada wana jf
Mpu uuzi wewe hata kuandika hujui
 
Hahahahah itabidi uongee na wazee wakupe mbinu , relax ,jiamini usiwe na mapepe naye mchoshe kwanza yeye then wewe ndo ufate kumaliza kazi madini hayo
 
We kapime tu kabla hajaja ili umlinde alafu hakikisha bao la kwanza unajikamua jingi kwa sababu wanaangaliaga semen volume kujua kama umecheza siku za karibuni
 
Hakika wee ni Furushiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usije nyoa vuzi atajua huwez kubanjuka na msiti au kichaka

Mparamie lia kama kuku ajue kuwa una genye la mda mrefu

ila dogo hii Chai ina sukari nyingi
giphy.gif
 
Back
Top Bottom