tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Huwa una sali kabla ya kulala?
Sijajua kinachokuzingua ni mali au ni woga tu wa kawaida.
Kama ni mali unaziwazia sana, umepotoka maana hujui chenye thamani maishani sio hizo mali. Ni hiyo akili, afya na utimamu wa kuendelea kusakanya.
Kama ni hofu za kawaida na kuota maruweruwe, kagua chumba chako km hewa ipo ya kutosha. Pia ulalapo, kichwa kielekee Kaskazini.
Hewa hupeleka oksijeni ya kutosha ubongoni hivyo ubongo kuliwazika. Kichwa kuelekea Kaskazini hufanya mwili uwe na mwafaka na nguvu sumaku za dunia hivyo kuliwazika.
NAMNA YA KUPATA USINGIZI MZURI
1. Lala kwenye chumba chenye ubaridi kidogo - Usiku dunia huwa inapoa wakati mchana inapata joto zaidi. Ubaridi unasaidia kuleta usingizi mzuri.
2. Lala kwenye chumba kilicho na giza la kutosha/usiwashe taa chumbani - Usiku dunia (asili) huwa ina mwanga mdogo/giza.
3. Fanya mazoezi ya kukufanya uchoke kidogo. Kukimbia (Jogging) kwa nusu saa ni moja ya zoezi linalosifika kusaidia kuleta usingizi mzito.
4. Zima simu au redio wakati ukilala. Pata utulivu wa kutosha bila ya kusumbuliwa na simu au kusikiliza redio/tv.
tindikalikali, kugeuza kitanda haishindikani. Ikiwa chumba hakitatosha, basi fanya uhame chumba/nyumba.
Unatumia karibu theluthi ya maisha yako kitandani/chumbani. Hakikisha pana 'energy' na kitanda kina mwafaka.
Tofauti na hapo, hizo mali pia zitapotea maana itafika mahali unachangayikiwa kabisa unakosa uwezo kuzifatilia.
Bongo wengi tunaishi kwa kubahatisha. Jaribu hii kanuni ya kufata mwafaka wa dunia kisha utanambia.
Mkuu Tindikali weka Kipande cha Tangawizi chini ya mto hutoota ndoto mbaya. Ukitaka dawa ya kujikinga na Wezi na Wachawi Wasiweze kuingia nyumbani kwako Dawa mimi ninayo ukitaka nitafute mimi kwa kubonyeza hapa.MawasilianoWadau kwa muda sasa nashindwa kulala vizuri, yani nalala kwa mawenge na hofu kubwa ni wezi/kuibiwa!!
Nipo katika uchumi wa kawaida tu ila usiku lazima nitashtuka na muda mwingine naamka kuchungulia dirishani na hata kwenda sebuleni!! Akili ikikaa sawa ndo nagundua kwamba ni wenge tu!
Nimejaribu kujilazimisha kurelax na kuzoea vitu nilivyonavyo lakini wapi, japo nyumba ina grills mlangoni, dirishan na madirisha ni ya vioo lakini bado naishi kwa hofu!
Naomba msaada wenu kipi nifanye ili nami nipate usingiz mzuri na siyo huu wa mang'amng'amu!!
asante mkuu umenipa mwanga!!
NAMNA YA KUPATA USINGIZI MZURI
1. Lala kwenye chumba chenye ubaridi kidogo - Usiku dunia huwa inapoa wakati mchana inapata joto zaidi. Ubaridi unasaidia kuleta usingizi mzuri.
2. Lala kwenye chumba kilicho na giza la kutosha/usiwashe taa chumbani - Usiku dunia (asili) huwa ina mwanga mdogo/giza.
3. Fanya mazoezi ya kukufanya uchoke kidogo. Kukimbia (Jogging) kwa nusu saa ni moja ya zoezi linalosifika kusaidia kuleta usingizi mzito.
4. Zima simu au redio wakati ukilala. Pata utulivu wa kutosha bila ya kusumbuliwa na simu au kusikiliza redio/tv.
Wadau kwa muda sasa nashindwa kulala vizuri, yani nalala kwa mawenge na hofu kubwa ni wezi/kuibiwa!!
Nipo katika uchumi wa kawaida tu ila usiku lazima nitashtuka na muda mwingine naamka kuchungulia dirishani na hata kwenda sebuleni!! Akili ikikaa sawa ndo nagundua kwamba ni wenge tu!
Nimejaribu kujilazimisha kurelax na kuzoea vitu nilivyonavyo lakini wapi, japo nyumba ina grills mlangoni, dirishan na madirisha ni ya vioo lakini bado naishi kwa hofu!
Naomba msaada wenu kipi nifanye ili nami nipate usingiz mzuri na siyo huu wa mang'amng'amu!!