tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Wadau kwa muda sasa nashindwa kulala vizuri, yani nalala kwa mawenge na hofu kubwa ni wezi/kuibiwa!!
Nipo katika uchumi wa kawaida tu ila usiku lazima nitashtuka na muda mwingine naamka kuchungulia dirishani na hata kwenda sebuleni!! Akili ikikaa sawa ndo nagundua kwamba ni wenge tu!
Nimejaribu kujilazimisha kurelax na kuzoea vitu nilivyonavyo lakini wapi, japo nyumba ina grills mlangoni, dirishan na madirisha ni ya vioo lakini bado naishi kwa hofu!
Naomba msaada wenu kipi nifanye ili nami nipate usingiz mzuri na siyo huu wa mang'amng'amu!!
Nipo katika uchumi wa kawaida tu ila usiku lazima nitashtuka na muda mwingine naamka kuchungulia dirishani na hata kwenda sebuleni!! Akili ikikaa sawa ndo nagundua kwamba ni wenge tu!
Nimejaribu kujilazimisha kurelax na kuzoea vitu nilivyonavyo lakini wapi, japo nyumba ina grills mlangoni, dirishan na madirisha ni ya vioo lakini bado naishi kwa hofu!
Naomba msaada wenu kipi nifanye ili nami nipate usingiz mzuri na siyo huu wa mang'amng'amu!!