Aisee! Mambo ni mengi dunianiKuiga wanyama au wadudu ili ufanikishe jambo jema ni jambo zuri, mfano mzuri wa watu walioiga wanyama au wadudu kufanikisha jambo jema kwa maendeleo mema ya dunia ni wanasayansi, wamewaiga wanyama na wadudu kama siafu, mchwa, jongoo, samaki, kobe, birds n.k.
Katika onaona yangu, sijawahi ona mnyama au mdudu anayejamiiana kwa kujiamini, uhakika na ufundi kama mbwa, kama unaona kuna mnyama au mdudu anayemzidi mbwa kwenye kujamiiana mweke hapa.
Sasa, nifanye nini ili niwe kama mbwa kwenye intercourse?
Karibuni.
Mh!Jitahidi kula supu ya mbwa angalau mara tatu kwa siku ukimalaiza mwezi tuletee mrejesho.
Na wataalam hakuna Tanzania.Aisee! Mambo ni mengi duniani
Just for relaxation.kuna zawadi unapata mkuu?
Mh! eti Powerful sex kama Mbwa!! mwee!Na wataalam hakuna Tanzania.
Kutembea na mke wa mtu ni hatari, siwezi kuufanyia kazi huu ushauri wako.Tembea na mke wa mtu utakuwa nayo tena kali zaid
kuwa mbwaKuiga wanyama au wadudu ili ufanikishe jambo jema ni jambo zuri, mfano mzuri wa watu walioiga wanyama au wadudu kufanikisha jambo jema kwa maendeleo mema ya dunia ni wanasayansi, wamewaiga wanyama na wadudu kama siafu, mchwa, jongoo, samaki, kobe, birds n.k.
Katika onaona yangu, sijawahi ona mnyama au mdudu anayejamiiana kwa kujiamini, uhakika na ufundi kama mbwa, kama unaona kuna mnyama au mdudu anayemzidi mbwa kwenye kujamiiana mweke hapa.
Sasa, nifanye nini ili niwe kama mbwa kwenye intercourse?
Karibuni.
Sasa powerful sexual intercourse kama ya mnyama gani unayomwona wewe anafaa?Mh! eti Powerful sex kama Mbwa!! mwee!
Haiwezekani mimi kuwa mbwa, kinachowezekana ni mimi kuwa na tabia mojawapo ya mbwa.kuwa mbwa
sawa unakwama wapi mbona wengine tuna pull kama ya mbwa ? eleza mapungufu yako nikusaidie chapHaiwezekani mimi kuwa mbwa, kinachowekana ni mimi kuwa na tabia mojawapo ya mbwa.
Kwenye suala zima la kujamiiana sina mapungufu.sawa unakwama wapi mbona wengine tuna pull kama ya mbwa ? eleza mapungufu yako nikusaidie chap
Mkuu hao wanasayansi unaowaamini walihatarisha maisha yao au ya viumbe wengine ili kufanisha jambo lao jema. Sasa wewe kula mbwa unaona taabu wakatu ndugu zangu pale pembeni wanatafuna kama kawaida.Mh!
Mbona hiyo ngumu kumeza!!, kula mbwa tena!!
Unathibitishaje kisayansi kama mbwa wana nutrients za hayo mambo?
Nithibitishiwe kwanza kisayansi ndipo nianze kula.Mkuu hao wanasayansi unaowaamini walihatarisha maisha yao au ya viumbe wengine ili kufanisha jambo lao jema. Sasa wewe kula mbwa unaona taabu wakatu ndugu zangu pale pembeni wanatafuna kama kawaida.
Kwenye suala zima la kujamiiana sina mapungufu.
Huwa napenda kudadisi vitu kwa vitendo, nataka kusaidiwa kwa ushauri wa kisayansi kuhusu hili.
A hundred million dollar question...[emoji855][emoji855]Unataka kuwa hivyo ili ukamkomeshe mwanamke tu?ama unataka uhamie kusex na mbwa?
Ushawai kupewa show na vumbi?Vumbi la Congo ndio suluhisho
Umeshathibitisha kisayansi ukila mbwa unakuwa na intercourse kama ya mbwa?Kula mbwa
Kula kwa imani sayansi ni overrated stories tu.Nithibitishiwe kwanza kisayansi ndipo nami nianze kula.