Nifanyeje ili niweze kumfahamu baba ya mzazi?

Nifanyeje ili niweze kumfahamu baba ya mzazi?

SukariTamu

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
295
Reaction score
59
Heshima zenu wakuu..nasumbuliwa na fikra za kutaka kumjua baba yangu mzazi maana tangu nimezaliwa sikuwahi kumuona wala kumsikia nimelelewa na wajomba na mama pekee..nafikiria kumweleza mama lakini naogoga ataona kama sithamini juhudi zake juu yangu...je wakuu nitumie njia gani ili nipate kumfahamu baba yangu maana najihisi kama nimepungukiwa kitu flani kwenye nafsi yangu..
 
Heshima zenu wakuu..nasumbuliwa na fikra za kutaka kumjua baba yangu mzazi maana tangu nimezaliwa sikuwahi kumuona wala kumsikia nimelelewa na wajomba na mama pekee..nafikiria kumweleza mama lakini naogoga ataona kama sithamini juhudi zake juu yangu...je wakuu nitumie njia gani ili nipate kumfahamu baba yangu maana najihisi kama nimepungukiwa kitu flani kwenye nafsi yangu..
pole sana ndugu kwa mamivu na msongo wa mawazo kwa ushauri mueleze mjomba/mama mdogo/mkubwa ambaye hapatani sana na mama yako ukishindwa muombe babu/bibi mzaa mama, ukishindwa trace mkunga aliyemsaidia mama kuzaliwa ww angalizo using'ang'anie kujua kwa nini mama yako amekuficha ww hitaji kumfahamu tu.
 
kam utaweza ni PM
naomba kujua umri wako, kisha mahusiano ya wewe na mama mzazi wako.
Usimwambie mama mdogo/mkubwa wala mjomba hilo ni kosa kubwa kwa mama yako mazazi, (experience)
Kaa karibu sana na mama fanya awe rafiki, usionyeha kuwa baba ni muhimu sana kwako, mfanye mama aone kuwa yeye ni muhimu, hakufanya jambo baya kutokuwa na baba. kama ni yuko karibu sana wewe, uliza toka kwake jina la ukoo la baba, kabila then achia hapo.
Usitegemee swali moja litatoa jibu la nani baba yako, anaishi wapi, na wala siyo ishu ya kujadili kwa siku mmoja.....its a process, jipe at least 3months kujua in detaila baba, jina lake nani, yuko/alikuwa wapi/ rafiki zake/alifanya kazi na kuishi wapi n.k
Pole sana! mwisho kabisa tafuta furaha yako na mpe furaha mama mzazi, maana alifanya yote kwa ajili yako, trust me!!
SP
 
pole sana ndugu kwa mamivu na msongo wa mawazo kwa ushauri mueleze mjomba/mama mdogo/mkubwa ambaye hapatani sana na mama yako ukishindwa muombe babu/bibi mzaa mama, ukishindwa trace mkunga aliyemsaidia mama kuzaliwa ww angalizo using'ang'anie kujua kwa nini mama yako amekuficha ww hitaji kumfahamu tu.
Shukrani sana mkuu...
 
kam utaweza ni PM
naomba kujua umri wako, kisha mahusiano ya wewe na mama mzazi wako.
Usimwambie mama mdogo/mkubwa wala mjomba hilo ni kosa kubwa kwa mama yako mazazi, (experience)
Kaa karibu sana na mama fanya awe rafiki, usionyeha kuwa baba ni muhimu sana kwako, mfanye mama aone kuwa yeye ni muhimu, hakufanya jambo baya kutokuwa na baba. kama ni yuko karibu sana wewe, uliza toka kwake jina la ukoo la baba, kabila then achia hapo.
Usitegemee swali moja litatoa jibu la nani baba yako, anaishi wapi, na wala siyo ishu ya kujadili kwa siku mmoja.....its a process, jipe at least 3months kujua in detaila baba, jina lake nani, yuko/alikuwa wapi/ rafiki zake/alifanya kazi na kuishi wapi n.k
Pole sana! mwisho kabisa tafuta furaha yako na mpe furaha mama mzazi, maana alifanya yote kwa ajili yako, trust me!!
SP

Sa aku-pm ili umtoze shi ngapi? au unaona ushauri wako ni expensive sana kuuweka humu?
 
Sa aku-pm ili umtoze shi ngapi? au unaona ushauri wako ni expensive sana kuuweka humu?

Mkuu niliona kama jambo hili linaweza hitaji habari toka kwake ambazo ni za binafsi, ndo maana sikuona sababu ya kumwaga kuku kwenye huu mtama mwingi!!! au wewe unafikiri ingefaa mambo binafsi kama haya yawe hadharani? kama ndio basi nisamehe mie niliye tumia njia ya kizamani!!
Sp
 
pole sana ndugu kwa mamivu na msongo wa mawazo kwa ushauri mueleze mjomba/mama mdogo/mkubwa ambaye hapatani sana na mama yako ukishindwa muombe babu/bibi mzaa mama, ukishindwa trace mkunga aliyemsaidia mama kuzaliwa ww angalizo using'ang'anie kujua kwa nini mama yako amekuficha ww hitaji kumfahamu tu.

Too long process na atamuudhi zaidi mama yake. Ushauri wangu. Mweleze mama wazi kuwa unampenda yeye na wajomba wote na unadhamini juhudi zako kwao LAKINI BILA KUJUA BABA YAKO NI NANI HUSIKII RAHA YOYOTE MAISHANI NA NI LAZIMA WAKUONYESHE ALIKO. usiogope be brave.
 
Mkuu niliona kama jambo hili linaweza hitaji habari toka kwake ambazo ni za binafsi, ndo maana sikuona sababu ya kumwaga kuku kwenye huu mtama mwingi!!! au wewe unafikiri ingefaa mambo binafsi kama haya yawe hadharani? kama ndio basi nisamehe mie niliye tumia njia ya kizamani!!
Sp
Lakini mkuu tayari nimeku PM..
 
Too long process na atamuudhi zaidi mama yake. Ushauri wangu. Mweleze mama wazi kuwa unampenda yeye na wajomba wote na unadhamini juhudi zako kwao LAKINI BILA KUJUA BABA YAKO NI NANI HUSIKII RAHA YOYOTE MAISHANI NA NI LAZIMA WAKUONYESHE ALIKO. usiogope be brave.
I appreciate
 
kwanza shukuru Mungu mama yako alivyokuhangaikia hadi leo hii.inategemeana majibu ya mama na jinsi huyo mzazi alivyomuumiza.yawezekana baba yako alikataa mimba na kushauri mama yako akuabort ila mama akakupigania hadi ulipofika.kama mimba yako ilimpa furaha baba yako ungemjua tu na hata kama mama yako ndo alimkataa baba ungemjua kwan asingeacha kujua mtoto wake unaendeleaje,hakuna kitu kinachoudhi kwa mama endapo aliteseka sana kukanwa halafu akajipa moyo kukulea umepata mafanikio unaacha kuwaza kumpa mama yako shukran unawaza alipo baba?huyo baba ye angekuwaza hadi anampa mimba mama yako hakujua hata nyumban kwao? am sure utamuudhi sana mama kwa kudhan gharama aliyoitoa kukufikisha ulipo na zero.kama mwanamke itokee upewe mimba utelekezwe halafu mtoto wako aje akuambie nataka kumjua baba utaona utavyojisikia..baba zako ni hao waliochukua jukumu la kukuthamin na kukulea na kuwaza future yako hadi leo upo hapo.Baba c kumwaga shahawa.ushaur wangu forget about ua stupid father utaharibu uhusiano.wako na mama yako.subir ye mwenyewe ipo cku atafunguka A up to Z about ua biological father.
 
kwanza shukuru Mungu mama yako alivyokuhangaikia hadi leo hii.inategemeana majibu ya mama na jinsi huyo mzazi alivyomuumiza.yawezekana baba yako alikataa mimba na kushauri mama yako akuabort ila mama akakupigania hadi ulipofika.kama mimba yako ilimpa furaha baba yako ungemjua tu na hata kama mama yako ndo alimkataa baba ungemjua kwan asingeacha kujua mtoto wake unaendeleaje,hakuna kitu kinachoudhi kwa mama endapo aliteseka sana kukanwa halafu akajipa moyo kukulea umepata mafanikio unaacha kuwaza kumpa mama yako shukran unawaza alipo baba?huyo baba ye angekuwaza hadi anampa mimba mama yako hakujua hata nyumban kwao? am sure utamuudhi sana mama kwa kudhan gharama aliyoitoa kukufikisha ulipo na zero.kama mwanamke itokee upewe mimba utelekezwe halafu mtoto wako aje akuambie nataka kumjua baba utaona utavyojisikia..baba zako ni hao waliochukua jukumu la kukuthamin na kukulea na kuwaza future yako hadi leo upo hapo.Baba c kumwaga shahawa.ushaur wangu forget about ua stupid father utaharibu uhusiano.wako na mama yako.subir ye mwenyewe ipo cku atafunguka A up to Z about ua biological father.

Mkuu umetumia hisia na maneno makali sana!!! taratibu bana, unaweza kumuvunja moyo sukariTamu. let be for goodfaith!! the past she/he is less concern just his/her future.
Nimesoma nikahisi u got some experience on it..............jst feelings
Sp
 
kwanza shukuru Mungu mama yako alivyokuhangaikia hadi leo hii.inategemeana majibu ya mama na jinsi huyo mzazi alivyomuumiza.yawezekana baba yako alikataa mimba na kushauri mama yako akuabort ila mama akakupigania hadi ulipofika.kama mimba yako ilimpa furaha baba yako ungemjua tu na hata kama mama yako ndo alimkataa baba ungemjua kwan asingeacha kujua mtoto wake unaendeleaje,hakuna kitu kinachoudhi kwa mama endapo aliteseka sana kukanwa halafu akajipa moyo kukulea umepata mafanikio unaacha kuwaza kumpa mama yako shukran unawaza alipo baba?huyo baba ye angekuwaza hadi anampa mimba mama yako hakujua hata nyumban kwao? am sure utamuudhi sana mama kwa kudhan gharama aliyoitoa kukufikisha ulipo na zero.kama mwanamke itokee upewe mimba utelekezwe halafu mtoto wako aje akuambie nataka kumjua baba utaona utavyojisikia..baba zako ni hao waliochukua jukumu la kukuthamin na kukulea na kuwaza future yako hadi leo upo hapo.Baba c kumwaga shahawa.ushaur wangu forget about ua stupid father utaharibu uhusiano.wako na mama yako.subir ye mwenyewe ipo cku atafunguka A up to Z about ua biological father.

Mkuu me nimesha exprnc haya, coz me mwnyw nimelelewa na maza tu na kuhusu mzee ninamfahamu sana japo alimshawishigi mama atoe mimba ambaye nilikuwa nitolewe mimi bt maza kwa uchungu wa mwanae hakunitoa mpaka leo hii hata nikikaa miaka 20 bila kumuona mzee sioni ajabu ila siwezi kupitisha hata siku 1 bila kumuona mama aiseee.
 
kwanza shukuru Mungu mama yako alivyokuhangaikia hadi leo hii.inategemeana majibu ya mama na jinsi huyo mzazi alivyomuumiza.yawezekana baba yako alikataa mimba na kushauri mama yako akuabort ila mama akakupigania hadi ulipofika.kama mimba yako ilimpa furaha baba yako ungemjua tu na hata kama mama yako ndo alimkataa baba ungemjua kwan asingeacha kujua mtoto wake unaendeleaje,hakuna kitu kinachoudhi kwa mama endapo aliteseka sana kukanwa halafu akajipa moyo kukulea umepata mafanikio unaacha kuwaza kumpa mama yako shukran unawaza alipo baba?huyo baba ye angekuwaza hadi anampa mimba mama yako hakujua hata nyumban kwao? am sure utamuudhi sana mama kwa kudhan gharama aliyoitoa kukufikisha ulipo na zero.kama mwanamke itokee upewe mimba utelekezwe halafu mtoto wako aje akuambie nataka kumjua baba utaona utavyojisikia..baba zako ni hao waliochukua jukumu la kukuthamin na kukulea na kuwaza future yako hadi leo upo hapo.Baba c kumwaga shahawa.ushaur wangu forget about ua stupid father utaharibu uhusiano.wako na mama yako.subir ye mwenyewe ipo cku atafunguka A up to Z about ua biological father.

Fuata ushauri huu,bila shaka mama alishaumizwa na huyo unayetaka kumjua,hivyo ukitumia njia yoyote
kutaka kumjua utamuumiza mama yako.Acha wakati mwafaka yeye mama alioupanga atakuja kukueleza,chukulia
kama huyo baba yako alishakufa'
 
Back
Top Bottom