Nilikuwa na-post story fulani very interesting, ambayo huenda ingekupa mwangaza ktk harakati zako, lkn bahati mbaya natumia simu na memory ikawa full xo ikaji-delete, nikipata nafasi nta-post tena.
Pole sana kaka ila usikate tamaa huenda baba huko aliko na yeye ana hamu sana ya kukutana na wewe, mifano iko mingi tena ni halisia.