Hebu niambie umetembelea za nani na nani hao wenye roho mbaya hivi wanaharamu hawa...Wadau ebu nipeni mbinu za kuchatt na warembo wa jf...
Maana kila nikijaribu kutembelea pm zao sipati majibu, yaan sijawahi jibiwa pm hata moja!
Wakongwe nipeni maujanja, huwa mnatumia mbinu gani?
Kama una hela nenda kwa Miss chagga,,,,hawezi kukuacha....na kama huna kibamia nenda kwa Madame B...Wadau ebu nipeni mbinu za kuchatt na warembo wa jf...
Maana kila nikijaribu kutembelea pm zao sipati majibu, yaan sijawahi jibiwa pm hata moja!
Wakongwe nipeni maujanja, huwa mnatumia mbinu gani?
Jiran karibu unitembeleeHebu niambie umetembelea za nani na nani hao wenye roho mbaya hivi wanaharamu hawa...
Yaani kabisa na kujitutumua kuremba mwandiko bado wanakutolea?
Hebu niambie umetembelea za nani na nani hao wenye roho mbaya hivi wanaharamu hawa...
Yaani kabisa na kujitutumua kuremba mwandiko bado wanakutolea?
Naomba nikumbelee rafikiNjoo kwangu mtoa mada lakn na mpesa ikiwa full[emoji12]
Naomba nikumbelee rafikiNjoo kwangu mtoa mada lakn na mpesa ikiwa full[emoji12]
We rafik angu umensusa sana sikuhziNaomba nikumbelee rafiki
Hadhari hapafaiMkuu weka maujanja hadharani..
Ata we umenisusa rafiki na naona unabanwa sanaWe rafik angu umensusa sana sikuhzi
Hamna bwana we mwenyew tuAta we umenisusa rafiki na naona unabanwa sana