Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hahahahahaaaa....Uwe unarusha yale makaratasi JF kama alivyofanya Mshanajr kila mara nakuhakikishia wakina miss chagga kibao lazima wajibu pm.
InnaHahaa siwezi labda mtakatifu mana sa nyingine anaiba simu yangu kujibu text
Saint Ivuga
Niambie sumve
Mtu anakuja pm...nambie, kila baada ya dk 5..nambie. Au analazimisha umpe namba hata kabla hamjajenga urafiki. So boringMh mvuto gani sasa
Nipm plz if you wont mind my dear.Niambie sumve
Hehe..umenifanya nijifikirie upya kukupm wangu.Mtu anakuja pm...nambie, kila baada ya dk 5..nambie. Au analazimisha umpe namba hata kabla hamjajenga urafiki. So boring
Ha haaa kama ndo upo hivyo usije. Tutaboana bureHehe..umenifanya nijifikirie upya kukupm wangu.
Wadau ebu nipeni mbinu za kuchatt na warembo wa jf...
Maana kila nikijaribu kutembelea pm zao sipati majibu, yaan sijawahi jibiwa pm hata moja!
Wakongwe nipeni maujanja, huwa mnatumia mbinu gani?
Mwingine anakuja vizuri na salamu unamjibu, msg mbili tatu anauliza umevaa nini? Anaanza sex chat from nowhere kha! Inashangaza sana sometimes.Ha ha hapo kweli inaleta shida kumuelewa mtu wa hivyo...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hao ni ma domo zegeMtu anakuja pm...nambie, kila baada ya dk 5..nambie. Au analazimisha umpe namba hata kabla hamjajenga urafiki. So boring
Sawa boss...uko vizr lakn?Nipm plz if you wont mind my dear.