Nifanyeje ili pm zangu ziwe zinajibiwa??

Nifanyeje ili pm zangu ziwe zinajibiwa??

Sangine wanaume wenzako ndo mana wanakukaushia
Ohoo hii ndo Jf bhana

invest what you are willing to loose
 
Mtu anakuja pm...nambie, kila baada ya dk 5..nambie. Au analazimisha umpe namba hata kabla hamjajenga urafiki. So boring
Ha ha hapo kweli inaleta shida kumuelewa mtu wa hivyo...
 
demi kwanini umejiita hivyo?
My favorite artist kwenye Pop ni Demi Lovato umewahi msikiliza?
 
Ha ha hapo kweli inaleta shida kumuelewa mtu wa hivyo...
Mwingine anakuja vizuri na salamu unamjibu, msg mbili tatu anauliza umevaa nini? Anaanza sex chat from nowhere kha! Inashangaza sana sometimes.
 
eac6dbd3b30ca544a321f13b63b9bc0e.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mtu anakuja pm...nambie, kila baada ya dk 5..nambie. Au analazimisha umpe namba hata kabla hamjajenga urafiki. So boring
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hao ni ma domo zege
 
Back
Top Bottom