geek jo
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 1,134
- 1,144
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajibu?Njoo kwangu mtoa mada lakn na mpesa ikiwa full[emoji12]
NdioUtajibu?
Kweli Inna?Ndio
Una watu baadhi lakini siyo mleta mada. Ukimjibu mpesa inakutembelea.Ndio
Haha kwann me siko hvyo rafik angu sina ubaguzi hata kidogoUna watu baadhi lakini siyo mleta mada. Ukimjibu mpesa inakutembelea.
Jirani hautanipiga cha mbavu kweli?Jiran karibu unitembelee
Mnachofanya sio kizuri.... tunamwachia Mungunimejikuta nacheka tu
Mnachofanya sio kizuri.... tunamwachia Mungu
Hahaa siwezi labda mtakatifu mana sa nyingine anaiba simu yangu kujibu textJirani hautanipiga cha mbavu kweli?
Ushanitisha...Hahaa siwezi labda mtakatifu mana sa nyingine anaiba simu yangu kujibu text
Saint Ivuga
The world is never fair...
Uwe unasalimia.. .Wadau ebu nipeni mbinu za kuchatt na warembo wa jf...
Maana kila nikijaribu kutembelea pm zao sipati majibu, yaan sijawahi jibiwa pm hata moja!
Wakongwe nipeni maujanja, huwa mnatumia mbinu gani?