Mkuu nitaishi hivi mpaka lini?
BETTER THAT WAY....!i am telling you
Kabla ya kuingia kwenye ndoa, hakikisheni kwanza wote mnaingia kwenye ndoa kifikra na kihisia. Kanisani au misikitini mnatimiza tu maagizo ya dini, ila ndoa mshaifunga mioyoni mwenu kwa very strong bond.
live your life mukubwa....!as i am talking to you i am married.tafadhali usioeI thought that way, but familia zetu za kibongo hawakuelewi, they keep on insisting/asking when are you going marry
that's that!..i can feel you....
Mkuu nitaishi hivi mpaka lini?
hashy kuna topic ilikuwa hapa jf last week, jamaa MKE wake alikua analiwa na mpakarangi wa kucha, The guy was providing almost everything for her!!!
Teano I get you, but who will enjoy my fortune? what should i do mkuu?
ndo maana na kwambia usioe!...
wanawake wa kuolewa walikuwepo zamani.....!sisi tuliooa zamani ndo tunapeta
hashy kuna topic ilikuwa hapa jf last week, jamaa MKE wake alikua analiwa na mpakarangi wa kucha, The guy was providing almost everything for her!!!