Nifanyeje kabla ya kuoa ?

jaribu kutafuta msichana aka binti ambaye kidogo ana hofu ya mungu...kidogo inapunguza japo haimalizi uchakachuzi....! generally hii issue ni pasua kichwa...!
 
Usiige maisha ya watu fuata moyo na akili yako inavyokutuma kufanya usione leo fulani kafumania na wewe unaanza kufikiria kufumania hapana hapo ni wrong wewe panga maisha yako na mkeo mtarajiwa mkubaliane kuwa tumeona na kusikia mengi kuhusu cheating so we need not to do such a thing ok???
 
yuleyule mnaeshea lotion na perfume umuoe. nimekubamba kwenye thread moja hivi
 

Mkuu,
Kama baada ya ushauri wote ulioupata hapa, na pia na kusumbuliwa na fikra za cheating na utaamua kuoa basi ujitayarishe kwa murder case.
Utaiingia ndoa kwa nia ya kutafuta ushahidi tu wa cheating na matendo yako au kauli zako ndizo zitakazomkosesha raha mkeo na hivyo kumpelekea kutafuta mtu wa kumfariji hata kama hatakuwa na nia au lengo la kucheat atajikuta ametumbukia huko.

Sasa uamue kusuka au kunyoa. Ukiamua kuoa na dhana zako hizo,ujitayarishe kwa murder case.
Usipooa basi uamue kuwa father wa kikatoliki, vyenginevyo utapata tabu sana.

Kwenye ndoa hakuna guarantee ndugu, ni bahati nasibu.
machungu yatakuwepo tu kama sio ya cheating basi mengineyo, hutaoa malaika ,utoa binadamu.
Pia kuoa kuna raha zake ,sio shida tupu.
Ukitaka kuyajua ni lazima uingie humo kwa kuhadithiwa tu itakuwa kama kutizama mkanda wa video.
Oa bana upate maraha, yakija maudhi uchukulie kuwa ni ajali kazini tu!
 
yuleyule mnaeshea lotion na perfume umuoe. nimekubamba kwenye thread moja hivi

Taratibu mkuu, umenifananisha na ndugu yangu sio mimi kaangalie vizuri :car::car:
 

Nimekupata, nasikia huu msemo 'Walio ndani wanatamani kutoka na walio nje wanatamani kuingia' ni kweli mkuu?? (walio ndani)
 

Hapo kwenye blue...Ni kama unaelekeza tuhuma kwa jinsia KE tu wakati hata jinsia ME huko ng'ambo au mkoani naye huwa na wadada wengine.
Kikubwa ni kumbomba mungu tu wote wawili mume na mke kuwa na tabia njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…