The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
wachekelea tu down fall yangu eeeh!......
Ha ha ha wewe ndio unanifanya nicheke sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wachekelea tu down fall yangu eeeh!......
baba ushauri,ntakuandama hadi ukose raha usirudie tena........lol 😛layball:😛layball:
nothing can separate whats meant to be together......we wangu tu.......hiyo mi pm ninayokuvulumishia lazima kieleweke...l.o.l
chearing is personal habbit though inaweza kuwa influenced na environment factors, omba sana kwa mungu akupe mke mwema ambaye ataridhika nawe kwa kila hali nawe uridhike nae kwa kila hali pia
Mkuu nitaishi hivi mpaka lini?
red handed!!
nothing can separate whats meant to be together......we wangu tu.......hiyo mi pm ninayokuvulumishia lazima kieleweke...l.o.l
nshakuweka kwenye ignore list,hunipati tena wewe,hapa yenyewe najitolea tu kusoma post zako,pm hamna lolote litakalonipata,kama kulia ulie hapa hapa mbele za watu,magoti upige na uonyeshe madhaifu yako...............ulivyokuwa unamwaga radhi mbele ya kuku wengi??sasa uiokote hapa hapa.........😛layball:
Wakuu: habari ya wked? Kuna hili linanisumbua. Inaonyesha ndoa nyingi zinaingiliwa (kunakuwa na cheating) na ma house boy/shamba boy, house girl, marafiki, majirani, wauza urembo, mapedejee na wengine wengi.
Hii inanitisha sana, Naombeni ushauri nifanyeje kabla ya kuoa? Ili nitakapooa nipunguze au kuondokana na karaha hii
Nawakilish
Nshakuweka kwenye IGNORE LIST,hunipati tena wewe,hapa yenyewe najitolea tu kusoma post zako,PM hamna lolote litakalonipata,kama kulia ulie hapa hapa mbele za watu,magoti upige na uonyeshe madhaifu yako...............ulivyokuwa unamwaga radhi mbele ya kuku wengi??sasa uiokote hapa hapa.........😛layball:
dah! Vere vere disappointed.....kunalipost moja kule kwenye jukwaa la picha linasema tangazo lazima nimfuate yule mganga
joli hupajui?
dah! Vere vere disappointed.....kunalipost moja kule kwenye jukwaa la picha linasema tangazo lazima nimfuate yule mganga
ivuga we UNAPAJUA?
Simba anataka chai..twende tukamnyweshe...🙂!!!!!!!
pcccccccccccccccccccccccccc pcccccccccccccccccccccccc🙂.
:faint::faint::faint: