Nifanyeje kabla ya kuoa ?

Nifanyeje kabla ya kuoa ?

baba ushauri,ntakuandama hadi ukose raha usirudie tena........lol 😛layball:😛layball:

nothing can separate whats meant to be together......we wangu tu.......hiyo mi pm ninayokuvulumishia lazima kieleweke...l.o.l
 
Chearing is personal habbit though inaweza kuwa influenced na environment factors, omba sana kwa mungu akupe mke mwema ambaye ataridhika nawe kwa kila hali nawe uridhike nae kwa kila hali pia
 
chearing is personal habbit though inaweza kuwa influenced na environment factors, omba sana kwa mungu akupe mke mwema ambaye ataridhika nawe kwa kila hali nawe uridhike nae kwa kila hali pia

good one
 
red handed!!

Jamani mwalimu,nimekosa darasa kuna mwanaume nilipata ananichanganya sana,but ndo kaniletea za kuleta,narudi class kuanzia leo.......nisamehe bure,ndo nakua!!!😛layball:
 
nothing can separate whats meant to be together......we wangu tu.......hiyo mi pm ninayokuvulumishia lazima kieleweke...l.o.l

Nshakuweka kwenye IGNORE LIST,hunipati tena wewe,hapa yenyewe najitolea tu kusoma post zako,PM hamna lolote litakalonipata,kama kulia ulie hapa hapa mbele za watu,magoti upige na uonyeshe madhaifu yako...............ulivyokuwa unamwaga radhi mbele ya kuku wengi??sasa uiokote hapa hapa.........😛layball:
 
nshakuweka kwenye ignore list,hunipati tena wewe,hapa yenyewe najitolea tu kusoma post zako,pm hamna lolote litakalonipata,kama kulia ulie hapa hapa mbele za watu,magoti upige na uonyeshe madhaifu yako...............ulivyokuwa unamwaga radhi mbele ya kuku wengi??sasa uiokote hapa hapa.........😛layball:

dah! Vere vere disappointed.....kunalipost moja kule kwenye jukwaa la picha linasema tangazo lazima nimfuate yule mganga
 
Wakuu: habari ya wked? Kuna hili linanisumbua. Inaonyesha ndoa nyingi zinaingiliwa (kunakuwa na cheating) na ma house boy/shamba boy, house girl, marafiki, majirani, wauza urembo, mapedejee na wengine wengi.
Hii inanitisha sana, Naombeni ushauri nifanyeje kabla ya kuoa? Ili nitakapooa nipunguze au kuondokana na karaha hii
Nawakilish

pga pushap 50 pa day
ujiweke fit kwa yatakayokukuta....
 
Nshakuweka kwenye IGNORE LIST,hunipati tena wewe,hapa yenyewe najitolea tu kusoma post zako,PM hamna lolote litakalonipata,kama kulia ulie hapa hapa mbele za watu,magoti upige na uonyeshe madhaifu yako...............ulivyokuwa unamwaga radhi mbele ya kuku wengi??sasa uiokote hapa hapa.........😛layball:

ehh jaman
vp tena?
ennhh byeeeeeeeeeeee
michelle whats hapen mama?
 
Ndugu,

Kwanza Mshirikishe Mungu katika kufanya maamuzi yako,

Halafu hakikisha suala la uchumi umelizingatia yaani kuwa na kazi inayokupatia kipato,

Suala la dimi,ilikuepusha migogoro,

Kabila lakini it is not a big deal,

Elimu: pia ni muhimu,kama wewe ni darasa la saba,ukapata mwanamke/mume mwenye digrii pia ni tatizo,

Lakini juu ya yote in UPENDO kati ya wawili
 
dah! Vere vere disappointed.....kunalipost moja kule kwenye jukwaa la picha linasema tangazo lazima nimfuate yule mganga

Ni PM ninazo namba za huyo mganga, siku umekaa nyumbani unaona michelle anakuja mwenyewe huku machozi yakimtoka
 
Back
Top Bottom